Niliandika Mwaka 2022 kuhusu vigogo Kutumia Bendera ya CCM Kusafirisha Wahamiaji

Niliandika Mwaka 2022 kuhusu vigogo Kutumia Bendera ya CCM Kusafirisha Wahamiaji

Najaribu kuunganisha DOT juu ya KUKAMATWA Wahamiaji Haramu 20 wakiwa kwenye Gari linalomilikiwa na Kiongozi na Kada wa CCM huku likipeperusha BENDERA ya CCM.

Tusihangaike kupiga Ramli juu ya Bendera ya CCM kwani Mwenye gari ni Kiongozi wa CCM Ana haki ya kuwa na Bendera ya CCM.

Hivyo Gari Lake kupeperusha Bendera ya CCM ni sahihi kwani ni gari ya KADA wa CCM. Swali liwe Mwenye Gari Ana husika na huo Usafirishaji wa Wahamiaji haramu au hahusiki? Kama Ana husika Kweli CCM inaweza kumwajibisha KIONGOZI na KADA wake? Ngoja tusubiri SUPU inachemka.
 
Najaribu kuunganisha DOT juu ya KUKAMATWA Wahamiaji Haramu 20 wakiwa kwenye Gari linalomilikiwa na Kiongozi na Kada wa CCM huku likipeperusha BENDERA ya CCM
Tusihangaike kupiga Ramli juu ya Bendera ya CCM kwani Mwenye gari ni Kiongozi wa CCM Ana haki ya kuwa na Bendera ya CCM
Hivyo Gari Lake kupeperusha Bendera ya CCM ni sahihi kwani ni gari ya KADA wa CCM. Swali liwe Mwenye Gari Ana husika na huo Usafirishaji wa Wahamiaji haramu au hahusiki? Kama Ana husika Kweli CCM inaweza kumwajibisha KIONGOZI na KADA wake? Ngoja tusubiri SUPU inachemka.

CCM haiwezi kumwajibisha kwa sababu hizo biashara haramu, ndiyo biashara zao miaka yote. Fuatilia watu wanaorajwa kuhusika na biashara wakubwa wa biashara haramu za meno ya tembo, madawa ya kulevya, na nyinginezo, wote utakuta ni viongozi wa CCM, makada wa CCM au wafadhili wakubwa wa CCM. CCM inafaidika kwa namna fulani ni hizo biashara haramu.
 
Najaribu kuunganisha DOT juu ya KUKAMATWA Wahamiaji Haramu 20 wakiwa kwenye Gari linalomilikiwa na Kiongozi na Kada wa CCM huku likipeperusha BENDERA ya CCM
Tusihangaike kupiga Ramli juu ya Bendera ya CCM kwani Mwenye gari ni Kiongozi wa CCM Ana haki ya kuwa na Bendera ya CCM
Hivyo Gari Lake kupeperusha Bendera ya CCM ni sahihi kwani ni gari ya KADA wa CCM. Swali liwe Mwenye Gari Ana husika na huo Usafirishaji wa Wahamiaji haramu au hahusiki? Kama Ana husika Kweli CCM inaweza kumwajibisha KIONGOZI na KADA wake? Ngoja tusubiri SUPU inachemka.
Mmiliki wa hilo gari tungependa kumjuwa?

Ova
 
Najaribu kuunganisha DOT juu ya KUKAMATWA Wahamiaji Haramu 20 wakiwa kwenye Gari linalomilikiwa na Kiongozi na Kada wa CCM huku likipeperusha BENDERA ya CCM
Tusihangaike kupiga Ramli juu ya Bendera ya CCM kwani Mwenye gari ni Kiongozi wa CCM Ana haki ya kuwa na Bendera ya CCM
Hivyo Gari Lake kupeperusha Bendera ya CCM ni sahihi kwani ni gari ya KADA wa CCM. Swali liwe Mwenye Gari Ana husika na huo Usafirishaji wa Wahamiaji haramu au hahusiki? Kama Ana husika Kweli CCM inaweza kumwajibisha KIONGOZI na KADA wake? Ngoja tusubiri SUPU inachemka.
Uko sahihi kabisa!
Ni jukumu la CCM na viongozi wake hususan katibu mwenezi wa chama Ambaye ni msemaji wa chama.
Atoke sasa na kutuambia kinachoendelea kuhusiana na sakata hili,ikiwemo hatua stahiki walizozichukua kwa mmiliki wa gari hilo ambae pia ni kiongozi wa mojawapo ya taasisi za CCM mkoani Dar es Salaam.
 
Kwa hali ya kawaida,. uongozi makini.Na uongozi unaoheshimu katiba na kutii sheria za nchi.

CCM mlipaswa kuwa mmejitokeza kupitia msemaji wa chama.Ili kuuelezea umma wa Watanzania kuhusiana na kilochotokea kwenye kashfa hii ya gari lenye kuwa na bendera ya CCM,na ambalo imeelezwa kuwa linamilikiwa na kada wa CCM na ni kiongozi wa moja ya taasisi za CCM mkoa wa Dar-es- salaam.
Na limekamatwa minjingu kibaoni kwenye kizuizi cha Polisi likiwa na watu wanaosadikika kuwa wahamiaji haramu kutoka nchini Ethiopia.

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote wa CCM ambae amejitokeza ama kufafanua na kuufahamisha umma juu ya uhusika au kutohusika kwa CCM na tukio husika?

Kuendelea kukaa kimya kwa CCM,kunaweza kuirasmisha tuhuma hii kuwahusu moja kwa moja.
Kumbukeni ile issue ya meli ya kinana na zile nyara miaka ileee!
Na point yangu inakuja kwamba.Tulitakiwa kuisikia CCM ikijitokeza na kutuelezea kuhudika moja kwa moja mhusika na mmiliki wa gari hilo.
Wadhifa wake ndani ya CCM lakini pia kimekuwaje gari lake liondoke Dar es Salaam hadi kufika Minjingu Arusha.
Bila yeye kama mmiliki kutotambua na kutoa taarifa ya kutoweka kwa gari lake?

CCM nao kuzidi kukaa kimya bila kutuambia ni hatua Gani stahiki wamekwisha mchukulia mwanachama wao mpaka sasa!

Au hilo gari ni mali ya CCM kiuhaslisia
 
Sasa kama hata kumtaja tuu hawawezi unaona kuna uwezekano wa hatua kuchukuliwa?
CCM ni genge la wezi na wahuni hawana tofauti na Panyarodi, sema wao wame advance kidogo.
Kanuni yao na panyarodi ni ileile nwenzao akipata kibano analindwa.
Huoni kule Manyara Pauline Gekul mbunge anamchomeka kijana chupa ya Coca makalioni na anashtakiwa lakini DPP anafuta mashtaka pengine akiuliza chupa ya coca tuu mnalalamika?
Unyonge ni ufala, na WaTZ tumekubali kuwa wanyonge na umetufanya mafala.
Hivi kama juzi kule Ujiji uchaguzi mdogo kura zinaibwa na watu wanakamata wezi, kingetembea kipigo kama kile cha vibaka na watu wakapata ulemavu au kutangulia jehanamu (maana ni waovu) mnadhani nani angefanya tena?
Tusikubali kuwa mafala.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Najaribu kuunganisha DOT juu ya KUKAMATWA Wahamiaji Haramu 20 wakiwa kwenye Gari linalomilikiwa na Kiongozi na Kada wa CCM huku likipeperusha BENDERA ya CCM
Tusihangaike kupiga Ramli juu ya Bendera ya CCM kwani Mwenye gari ni Kiongozi wa CCM Ana haki ya kuwa na Bendera ya CCM
Hivyo Gari Lake kupeperusha Bendera ya CCM ni sahihi kwani ni gari ya KADA wa CCM. Swali liwe Mwenye Gari Ana husika na huo Usafirishaji wa Wahamiaji haramu au hahusiki? Kama Ana husika Kweli CCM inaweza kumwajibisha KIONGOZI na KADA wake? Ngoja tusubiri SUPU inachemka.
Ni kada yupi?
 
Thubutu yao! Unataka waanza kuchomeana utambi, patakalika!

Viongozi wengi wa CCM wanaendesha biashara haramu!
Mimi ninakubaliana nawe vizuri kabisa.
Ila ninachopingaba hapo ni kwamba ....
Hao viongozi au wana CCM ni binadamu wenye utashi wao tofauti.
Kwenye misafara ya Mamba hata Kenge pia huwa wamo.

Na point yangu inakuja kwamba.Tulitakiwa kuisikia CCM ikijitokeza na kutuelezea kuhudika moja kwa moja mhusika na mmiliki wa gari hilo.
Wadhifa wake ndani ya CCM lakini pia kimekuwaje gari lake liondoke Dar es Salaam hadi kufika Minjingu Arusha.
Bila yeye kama mmiliki kutotambua na kutoa taarifa ya kutoweka kwa gari lake?

CCM nao kuzidi kukaa kimya bila kutuambia ni hatua Gani stahiki wamekwisha mchukulia mwanachama wao mpaka sasa!

Au hilo gari ni mali ya CCM kiuhaslisia?
 
Kinana: Meli ni yangu, ila shehena ya meno ya tembo iliyo ndani ya meli yangu, Si yangu.
Majibu yale yalikuwa ya kipuuzi kuwahi kutokea!
Ashukuru kuwepo kwa Kapteni mwenzake tangu enzi hizo mpaka sasa amekuwa Kapteni wa "Remote" na bado Kinana anapeta!
 
Manara alikuwaga Muenezi wa CCM kabla ya kuajiriwa Makolo FC [emoji23][emoji23]
Na yeye umesahau alipata kashfa ile ya kuiba gari double cabin Toyota na ndio ikawa mwisho wake na siasa ndani ya CCM!
Baada ya kuipitezea ile kesi kiaina!
 
Manara alikuwaga Muenezi wa CCM kabla ya kuajiriwa Makolo FC [emoji23][emoji23]
Na huko CCM ndiko alikojifunzia wizi na utapeli
JamiiForums1940860964.jpg
 
Majibu yale yalikuwa ya kipuuzi kuwahi kutokea!
Ashukuru kuwepo kwa Kapteni mwenzake tangu enzi hizo mpaka sasa amekuwa Kapteni wa "Remote" na bado Kinana anapeta!
Wanabebana,

Hata yule balozi Shimbo, aliwahi kukiri kuwa account ya uswisi yenye trillion 3 ni yake, ila pesa zilizomo Si zake.

Ikaishia hapo.
 
Kwa hali ya kawaida,. uongozi makini.Na uongozi unaoheshimu katiba na kutii sheria za nchi.

CCM mlipaswa kuwa mmejitokeza kupitia msemaji wa chama.Ili kuuelezea umma wa Watanzania kuhusiana na kilochotokea kwenye kashfa hii ya gari lenye kuwa na bendera ya CCM,na ambalo imeelezwa kuwa linamilikiwa na kada wa CCM na ni kiongozi wa moja ya taasisi za CCM mkoa wa Dar-es- salaam.
Na limekamatwa minjingu kibaoni kwenye kizuizi cha Polisi likiwa na watu wanaosadikika kuwa wahamiaji haramu kutoka nchini Ethiopia.

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote wa CCM ambae amejitokeza ama kufafanua na kuufahamisha umma juu ya uhusika au kutohusika kwa CCM na tukio husika?

Kuendelea kukaa kimya kwa CCM,kunaweza kuirasmisha tuhuma hii kuwahusu moja kwa moja.
Kumbukeni ile issue ya meli ya kinana na zile nyara miaka ileee!
Na point yangu inakuja kwamba.Tulitakiwa kuisikia CCM ikijitokeza na kutuelezea kuhudika moja kwa moja mhusika na mmiliki wa gari hilo.
Wadhifa wake ndani ya CCM lakini pia kimekuwaje gari lake liondoke Dar es Salaam hadi kufika Minjingu Arusha.
Bila yeye kama mmiliki kutotambua na kutoa taarifa ya kutoweka kwa gari lake?

CCM nao kuzidi kukaa kimya bila kutuambia ni hatua Gani stahiki wamekwisha mchukulia mwanachama wao mpaka sasa!

Au hilo gari ni mali ya CCM kiuhaslisia
Kukaa kimya nalo ni jibu
 
Kwa hali ya kawaida,. uongozi makini.Na uongozi unaoheshimu katiba na kutii sheria za nchi.

CCM mlipaswa kuwa mmejitokeza kupitia msemaji wa chama.Ili kuuelezea umma wa Watanzania kuhusiana na kilochotokea kwenye kashfa hii ya gari lenye kuwa na bendera ya CCM,na ambalo imeelezwa kuwa linamilikiwa na kada wa CCM na ni kiongozi wa moja ya taasisi za CCM mkoa wa Dar-es- salaam.
Na limekamatwa minjingu kibaoni kwenye kizuizi cha Polisi likiwa na watu wanaosadikika kuwa wahamiaji haramu kutoka nchini Ethiopia.

Mpaka sasa hakuna kiongozi yeyote wa CCM ambae amejitokeza ama kufafanua na kuufahamisha umma juu ya uhusika au kutohusika kwa CCM na tukio husika?

Kuendelea kukaa kimya kwa CCM,kunaweza kuirasmisha tuhuma hii kuwahusu moja kwa moja.
Kumbukeni ile issue ya meli ya kinana na zile nyara miaka ileee!
Na point yangu inakuja kwamba.Tulitakiwa kuisikia CCM ikijitokeza na kutuelezea kuhudika moja kwa moja mhusika na mmiliki wa gari hilo.
Wadhifa wake ndani ya CCM lakini pia kimekuwaje gari lake liondoke Dar es Salaam hadi kufika Minjingu Arusha.
Bila yeye kama mmiliki kutotambua na kutoa taarifa ya kutoweka kwa gari lake?

CCM nao kuzidi kukaa kimya bila kutuambia ni hatua Gani stahiki wamekwisha mchukulia mwanachama wao mpaka sasa!

Au hilo gari ni mali ya CCM kiuhaslisia
Ngoja nisi comment kitu
 
Back
Top Bottom