Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata sizijui hizo mambo aiseee za movie
Mazoez pekee ndio silaha tosha najiamini naweza fanya chochote na muda wowote napo kabiliana na adui yangu.
Achukue tupa?,dah hatari sanaHata carolite inaweka sugu mikononi, halafu jamaa bonge la mbabe sasa unashindwaje kuondoa sugu tu? Chukua tupa au msasa.
Nifundishe na mimi mkuu,maana kuna jamaa ninamdai pesa yangu hataki kunilipa.Mkuu kumbuka mi sijafundisha karate za mtaani ,master wangu alikuwa ni mjomba wangu na yeye ndo alikuwa ananielekeza ,nimeivaa Sana kwenye huo mchezo,na vigumu sana mimi kuhombana na mtu na ikitokea huwa naonya tu maana nikipiga madhara yake ni makubwa sana na mjomba alifundisha kuvunja inapotekea mimi kuzindiwa na hapo ndo kuna ukali wangu ila kuweka mwili sawa na kutafuta nguvu za mkono na huwa push up ndo ilisababisha usugu huu.nimejifunza karate na hakuna nisichokijua ndo ya huo mchezo
Shukuru Mungu amekuepusha na Segerea.Dah! Ningekuwa Mimi walahi wangekoma watu!.. hakuna Cha kufuta sugu wala nini atakae nichokoza lazima ataniambia ikitoka herufi Z inafuata herufi gani!!.. alasivyo namng'oa mimeno yale ya uwalazani Bata kabisa!.. mi siwezi jisumbua kufuta sugu..[emoji28]
Maygel ndio nini mkuu?Ukishajifunza huo mchezo automatically unakuwa mpole Sana coz unajua madhara gani mtu ukimpiga sehemu fulani ana pata madhara makubwa ila Kama unaupenda jifunze kwa self defense Mana hujui lin utakutana na kisanga itakuokoa Mana ukimzibua mtu tu maygel ilioshiba lazima wajue hapa Kuna bingwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Front kick or side kick Mae geriMaygel ndio nini mkuu?
SeDuh! Poa mkuu
KweliiNakushauri jifunze self defense mwamba najivunia naweza enda sehemu yeyote na muda wowote uje na lifimbo,panga,shoka nakuvibua tu nacheza shotokan brown belt now[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]