Nilianza kucheza karate nikiwa na miaka 4 nahitaji kutoa usugu kwenye vidole

Acha mi push up ya nakoz ili yafutike
 
Nifundishe na mimi mkuu,maana kuna jamaa ninamdai pesa yangu hataki kunilipa.
 
Shukuru Mungu amekuepusha na Segerea.
 
Maygel ndio nini mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…