Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Geofrey Hinton anajulikana kama "GODFATHER OF AI" anatakumbusha swali la msingi, je tuko tayari kisawa sawa kwa ajili ya AI?
Sijui kama Aliacha kazi kama protest au hofu ya ukuu wa AI ambao unakuwa kwa kasi sana ila all in all hata mimi sioni mazuri mbeleni.
Mwamba anasema AI inaweza hivi karibuni kushindana au kuzidi akili ya binadamu katika nyanja mbalimbali. itafika wakati kuwa AI itagundua namna ya kuua mtu
Hinton ameonya kwamba kadri AI inavyokuwa na uwezo zaidi, inaweza kushinda udhibiti wa binadamu, na hivyo kusababisha hali ambapo binadamu atakuwa hana umuhimu.
Mwamba pia anasema AI itajenga akili kubwa ambayo tunaweza kushindwa kui-stopisha na pia itaweza kukuwa kwa kiasi tunaweza kutapelika na AI bila sisi kujijua.