Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #41
Vya ugenini vinaraha yake asikuambie mtu
kaka mbona huku kwe2 mwananyamala kuna machaka mazuri?ukianzia komakoma,mwananyamala a,kwa mama zakaria,hapo kwa manjunju,royal,peace!bora ungemraruria uwanja wa nymbani