Nilianza na kidonge kimoja Sasa Nina hospitali

Nilianza kilimo cha matikiti kwa mbegu saba tu za matikiti. zile mbegu saba zilivyoota na kuzaa, kila mtikiti ulitoa matikiti 15. 15x7 = 105. Kila tikiti niliuza kwa shilingi 1500. 1500x105= 157500. Huo ndo ulikuwa mwanzo wangu wa kutengeneza pesa nyingi kupitia kilimo cha matikiti. sasa hivi nina mashamba makubwa ya matikiti...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…