Niliapa sintakuja piga mwanamke

Hahaa haya bwana
Jibu lako lile limenikumbusha mhenga aliyewahi kuitawala nchi ya "Bongo land" alipata kusema "Ukitaka kula lazima uliwe". Tigo nao wamemuenzi kwa ile "Jaza ujazwe". (Nimecheka at! )
 
Nzurii!, hutamani iishe. Lakini ilipofika inaogopesha, Malcolm asitishe sana jamani.

Nimecheka pa mtoto akilia na yeye anaitwa kubembeleza, alivyoiweka kama vile ni kitu cha ajabu yeye kubembeleza mtoto...lol
Hahaha mbona kubembeleza, but ilisaidia sana kwenye kuform bond, you know how it feels kumbembeleza mtoto hadi alale
 
Jibu lako lile limenikumbusha mhenga aliyewahi kuitawala nchi ya "Bongo land" alipata kusema "Ukitaka kula lazima uliwe". Tigo nao wamemuenzi kwa ile "Jaza ujazwe". (Nimecheka at! )
[emoji23] daah una misemo migumu nimejikuta narudia tena na tena kuelewa nimetoka kapa
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…