Nilichanjwa dawa ya kupendwa na wasichana

Hapo ndipo ndugu zangu wenyeji wa mkoa wa Mara mnaponiangusha, matumizi ya nguvu kubwa kutafuta suala la kibwege.
Mganga aliwaongezea confidence tu na kuwafanya muwe wabishi katika kusaka jambo lenu.
Sasa si ungekomaa na binti wa yule mzee Tajiri pale Ngoreme.
Sababu katika hali ya kawaida hakuna tajiri anaandika mambo ya hivi, wewe utakuwa maskini maskini mwenzetu[emoji2][emoji2][emoji2](Nataniaaaa, usimind).Ila hilo la aya ya kwanza tulifanyie kazi.
 
Watu wameamini Sana kwenye hayo..Mambo...kila hatua ya maisha Yake anaenda kuangalia kwa mtaalamu...hata akijikwaaa anatafuta mchawi..

Matokeo kuuwa. Vikongwe huko Usukumani...na Albino...Magomvi katika familia...Kunaaminianaa...N.K
 

Nashukuru kwa kunitia moyo kuwa na wewe ni maskini kama mimi.

Soma vizuri nilichokiandika kisha uje tena
 
Hadithi nzuri sana...yaani hata shigongo umempita parefu sana...endelea kukaza mkuu ila sasa umesahau kutoa namba ya mganga
 
Wewe umesema mwenzio alishaoa ndiyo maana nimeuliza wewe kwanini hujaoa?
I wonder people ask, "why are you not getting married while your mates are already married ?" the answer is, my friend, even some of your age mates have died but no one has told you to die.
 
Kuwa mashoga ndo kustaarabika?

Waliostaarabika ni wanaomuamini Mungu katika maisha yao.
 
Kuwa mashoga ndo kustaarabika?

Waliostaarabika ni wanaomuamini Mungu katika maisha yao.

Kwani Tanzania haina mashoga? Nani aliyekudanganya?
Ushirikina umekusaidia nini cha maana kama unaufanya? Inahitaji niloge ili nipate demu kweli? Akili zetu ndogo ndogo
 
Vipi waweza nisaidia nipate na Mimi iyo Dawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…