Nilichanjwa dawa ya kupendwa na wasichana

Nilichanjwa dawa ya kupendwa na wasichana

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watoto wa 20000'nini!
Sawa mkuu ila noti za elf10 za bluu,sina kumbu kumbu ka'zishawahi tumika nchini!

Nimejitahid mno kuvuta memory langu lakini wapi!
Emb tukumbushane bas bwaashe, mwaka gani huo, ama kipindi cha Mwinyi?
Ulikuwa upo kiunoni kwa mzee wako bado! Awamu ya mkapa ndio hela tulitumia hizo
 
Ulikuwa upo kiunoni kwa mzee wako bado! Awamu ya mkapa ndio hela tulitumia hizo
Mkuu tangia Nyerere nilikuwepo tena mwajiriwa, cjui unaweza semaje kwa hilo.

Ninaweza kukuzaa sema kumbukumbu ndoishafuta, c unajua uzee tena!
Maana minoti ya Tz wameyabadilisha sana hasa kuanzia utawala wa alhaji.
 
Mkuu tangia Nyerere nilikuwepo tena mwajiriwa, cjui unaweza semaje kwa hilo.

Ninaweza kukuzaa sema kumbukumbu ndoishafuta, c unajua uzee tena!
Maana minoti ya Tz wameyabadilisha sana hasa kuanzia utawala wa alhaji.
Basi fanyia kazi kumbukumbu zako maana mie pia nilikuwa meneja wa bodi ya Pamba by that time baba wa Taifa akanitumbua 🤣🤣🤣
 
Ushirikina ni tatizo. Wote wanaouendekeza wana matatizo makubwa sana. Hakuna maendeleo. Hakuna amani. Hakuna legacy ya maana zaidi ya mambo ya hovyo hovyo tu. Ndio maana kuua watu wa vipara, albino ah kufukua maiti ndio sifa zetu za hovyo mbele ya watu waliostaarabika. Tuache ushirikina

Muda mwingine ili nikueleweshe inabidi tuongee hata face to face huwezi kunielewa acha nikuache.

Halafu wewe ndiye unaweza kuwa mshirikina hata kumzidi yeyote humu.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watoto wa 20000'nini!
Sawa mkuu ila noti za elf10 za bluu,sina kumbu kumbu ka'zishawahi tumika nchini!

Nimejitahid mno kuvuta memory langu lakini wapi!
Emb tukumbushane bas bwaashe, mwaka gani huo, ama kipindi cha Mwinyi?
Unadani jina la Mr Blue lilitokea wapi? Kama jamaa amekuzidi umri ujue tatizo liko hapo
 
Yani vijana wa siku hizi dah..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani pamoja na kuchanjiwa dawa ndo ukaishia kula walembo saba jalafu unakuja hapa kuanzisha uzi unajisifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi hapa sikuwahi kuchanjiwa wala kuoga hizo dawa ila kwa huo umri kama wako nilikula kama mademu 124 hivi
Na mpaka kufikia sasa nilishatomba wanawake wapatao mia nne
[emoji16][emoji16][emoji16]nyie mbwa tenaa,hivi ikinasiana pale huwa inauma eh???[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
 
Kuna wadada frani walienda kwa mganga wakiwa na shida awapatie dawa ili wapendwe na wazungu.
sijui walifanikiwa au laaa
 
ila uzinzi ni gharama pumbavu sana


ila una raha, wanapita madada 4 mbele yako usha watia govinda wa 3 alafu hawajuani basi unajikuta wa maana kumbe mpumbavu tu
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watoto wa 20000'nini!
Sawa mkuu ila noti za elf10 za bluu,sina kumbu kumbu ka'zishawahi tumika nchini!

Nimejitahid mno kuvuta memory langu lakini wapi!
Emb tukumbushane bas bwaashe, mwaka gani huo, ama kipindi cha Mwinyi?
Muulize Mr blue akitamba na kibao chake cha blue blue ni miaka gani hiyo
 
sidhani kama kuna hizi dawa zaidi ya utapeli.

Ukiwa mcheshi, kujiamini, kuvaa fresh ni dawa tosha
 
Back
Top Bottom