Nilichanjwa dawa ya kupendwa na wasichana

Nilichanjwa dawa ya kupendwa na wasichana

Ushoga na huyo siwezi, niliwahi kuwa ofisi moja na mdada aina hiyo unajua nilikuwa namshangaa halafu umri mdogo mabwana zake anaowafanyia ndumba wanamfuata kuja kumsuta [emoji23][emoji23][emoji23] baadaye ya miaka zaidi ya 10 kanitafuta namuuliza kama kaolewa daa kazalishwa watoto 3 na kila mmoja na baba yake haaa haaa
Yeye nae alikuwa binti mdogo ..kipindi anafanya hayo alikuwa na 20yrs..mabwana zake alikuwa asipopokea simu walikuwa mpaka wanalia...cheiii!!
 
Yani vijana wa siku hizi dah..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani pamoja na kuchanjiwa dawa ndo ukaishia kula walembo saba jalafu unakuja hapa kuanzisha uzi unajisifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi hapa sikuwahi kuchanjiwa wala kuoga hizo dawa ila kwa huo umri kama wako nilikula kama mademu 124 hivi
Na mpaka kufikia sasa nilishatomba wanawake wapatao mia nne
 
Yeye nae alikuwa binti mdogo ..kipindi anafanya hayo alikuwa na 20yrs..mabwana zake alikuwa asipopokea simu walikuwa mpaka wanalia...cheiii!!
Yaani huyo hakuwa amezidi 22 jamani nilikuwa namshangaa, watu wakubwa ambao mie nawaheshimu, mpaka nikawa naogopa kuongozana naye labda tukutane tu aibu
 
Hongera sana mkuu kwa kuwa huru kutoka katika lindi la "ujana- ujinga" huo.

Lakini hujatueleza ni kwa njia gani uliizingua hiyo dawa hadi ukawa huru.

Naweza kuelezea nikaonekana mganga ila nilizizindua na wapo wataalamu wa hayo mambo
 
Yani vijana wa siku hizi dah..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani pamoja na kuchanjiwa dawa ndo ukaishia kula walembo saba jalafu unakuja hapa kuanzisha uzi unajisifu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi hapa sikuwahi kuchanjiwa wala kuoga hizo dawa ila kwa huo umri kama wako nilikula kama mademu 124 hivi
Na mpaka kufikia sasa nilishatomba wanawake wapatao mia nne

Punguza ukali wa maneno,

Lengo halikuwa kutamba au kujisifu kwa idadi kubwa ya wanawake niliokuwa nao maana nina imani kuwa huwezi ukafikia hata kidogo kidogo na siyo sifa.

Kikubwa ilikuwa ni ushuhuda kidogo tu na kubadilishana mitazamo
 
We jamaa umenikumbusha nilikwenda kwa mganga alinichanja sehemu nyingi ila kuna mahala alifika alitaka kunikera ila nilikuwa sina namna.
Alifikia nyuma ya kiuno juu ya makalio ambapo alishuka zaidi na kuniomba nivue bukta nikavua akaniomba nivue SanLG nikavua akapapasa makalio akachanja karibu kabisa na jicho du ilifika hatua nikawaza yaani huyu mpuuzi akinitia kidole au akiingiza dubwasha lolote hapakaliki.

Nadhani kuna muda aliingiza kidude flani sijui kilikuwa nini.
 
We jamaa umenikumbusha nilikwenda kwa mganga alinichanja sehemu nyingi ila kuna mahala alifika alitaka kunikera ila nilikuwa sina namna.
Alifikia nyuma ya kiuno juu ya makalio ambapo alishuka zaidi na kuniomba nivue bukta nikavua akaniomba nivue SanLG nikavua akapapasa makalio akachanja karibu kabisa na jicho du ilifika hatua nikawaza yaani huyu mpuuzi akinitia kidole au akiingiza dubwasha lolote hapakaliki.

Nadhani kuna muda aliingiza kidude flani sijui kilikuwa nini.

😂😂😂😂
Ushirikina unataka moyo sana, tuokoke
 
We jamaa umenikumbusha nilikwenda kwa mganga alinichanja sehemu nyingi ila kuna mahala alifika alitaka kunikera ila nilikuwa sina namna.
Alifikia nyuma ya kiuno juu ya makalio ambapo alishuka zaidi na kuniomba nivue bukta nikavua akaniomba nivue SanLG nikavua akapapasa makalio akachanja karibu kabisa na jicho du ilifika hatua nikawaza yaani huyu mpuuzi akinitia kidole au akiingiza dubwasha lolote hapakaliki.

Nadhani kuna muda aliingiza kidude flani sijui kilikuwa nini.
Sasa hapa mpuuzi alikuwa mganga au mteja wa mganga!!!!
 
We jamaa umenikumbusha nilikwenda kwa mganga alinichanja sehemu nyingi ila kuna mahala alifika alitaka kunikera ila nilikuwa sina namna.
Alifikia nyuma ya kiuno juu ya makalio ambapo alishuka zaidi na kuniomba nivue bukta nikavua akaniomba nivue SanLG nikavua akapapasa makalio akachanja karibu kabisa na jicho du ilifika hatua nikawaza yaani huyu mpuuzi akinitia kidole au akiingiza dubwasha lolote hapakaliki.

Nadhani kuna muda aliingiza kidude flani sijui kilikuwa nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] [emoji3] unatuuliza sisi aliingiza dude gani [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]! Wakati wewe ndiye ulikuwa naye huyo mganga ungemuuliza mtaalamu umeinhiza nini hicho haaa haaa
 
Back
Top Bottom