kaida wa ngara
Member
- Jul 14, 2020
- 70
- 68
Kweli nyie mlikua vitomb hatar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mashariti yake hayo?Wanatumbuliwa ila haikutakiwa kuwatumbua kwa dharau
Ni lazima aliliwa na mganga, hawezi kukwambia hili hivyo nimesema usijaribu kumtetea.Umenikumbusha rafiki yangu alikuwa na rafiki yake naye alichanjwa ili apendwe na wanaume wenye pesa..ndele bwana.
Yeah ndiyo masharti yake.Ndiyo mashariti yake hayo?
Aliolewa sasa na hao mtajiri? Au ndiyo kaishia kuchakazwa na waume za watu maana ndiyo walio wengi huwa na fyeza za kutosha
Duu mapenzi ya hivyo hapana mie siyataki kabisa, siku ikiisha hiyo dawa anaenda ku update?[emoji23][emoji23][emoji23]Yeah ndiyo masharti yake.
Aliolewa na kijana wa kiarabu alikuwa na pesa..na mbaya zaidi walikuwa watatu wote Wana pesa..na wote walikuwa wanamn'gan'gania kumuoa...sijui ndoa yake yaendeleaje uko alipo
Nahisi atakuwa alikuwa ana update.. maana anapenda shirki hatari..Duu mapenzi ya hivyo hapana mie siyataki kabisa, siku ikiisha hiyo dawa anaenda ku update?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo la kuliwa na mganga atajijua mwenyewe..hata hakuna mahali nimetetea.Ni lazima aliliwa na mganga, hawezi kukwambia hili hivyo nimesema usijaribu kumtetea.
Basi mzoefu huyo, ukimwingilia kwenye himaya yake hawezi chelewa kukichawiaNahisi atakuwa alikuwa ana update.. maana anapenda shirki hatari..
Hawanijui watashangaa tu nakupitaNtapost jukwaa letu pendwa kule chini jlw
Na alikuwa na Mambo ya uswahili vibaya mno.Basi mzoefu huyo, ukimwingilia kwenye himaya yake hawezi chelewa kukichawia
Naja pm chaap kwa fasi ya dwasi[emoji41]Ukitaka direction unapewa
Nikiandika tu ni member wa jf watamiminika balaaHawanijui watashangaa tu nakupita
Ushoga na huyo siwezi, niliwahi kuwa ofisi moja na mdada aina hiyo unajua nilikuwa namshangaa halafu umri mdogo mabwana zake anaowafanyia ndumba wanamfuata kuja kumsuta [emoji23][emoji23][emoji23] baadaye ya miaka zaidi ya 10 kanitafuta namuuliza kama kaolewa daa kazalishwa watoto 3 na kila mmoja na baba yake haaa haaaNa alikuwa na Mambo ya uswahili vibaya mno.