Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Wewe umesema mwenzio alishaoa ndiyo maana nimeuliza wewe kwanini hujaoa?Kwenye maelezo yangu sijatoa marital status yangu so naweza kuwa nimeoa au sijaoa pia. Nyongeza ya hapo, kuoa ni maaamuzi ya mtu na ndoa sio ya kukurupukia