Wapendwa walimu Ajira zitatoka tu. UVUMILIVU NA SUBIRA ndio tija ya mafanikio.
hivi serikali kwa nn isitoe tamko tu kwamba ajira ztatoka na lini ztatoka au hakuna kabisa ili watanzania wenye nia ya kuli2mikia taifa wakajua jambo la kufanya.
hivi serikali kwa nn isitoe tamko tu kwamba ajira ztatoka na lini ztatoka au hakuna kabisa ili watanzania wenye nia ya kuli2mikia taifa wakajua jambo la kufanya.
hv ww jamaa shoga au mana 2ache 2jadili ye2 cc wahanga na post znatoka ataufanye nn bata wewe bado mshamba sana
hv ww jamaa shoga au mana 2ache 2jadili ye2 cc wahanga na post znatoka ataufanye nn bata wewe bado mshamba sana
jaman kesho axubuh cheki TBC Sa 1 KASORO JAMBO TZ Tujue hatma za post zetu.
Live
Wewe si ndio ulisema unaongea na wakubwa na hao wakubwa wamekwambia majina yenu yatatoka tar 15 may ??? Na ukanitukana matusi mengi tuu,vipi bwana tarehe 15 bado? Naona umekuja tena na hiyo nyingine ya tbc 1. Haya bwana manao mwamini kesho asubuhi amkeni mshuhudie jambo lingine,,ila kijana usijiamini kumtukana mtu usiye jua lolote kuhusu yeye. Waiting njema walimu wetu.jaman kesho axubuh cheki TBC Sa 1 KASORO JAMBO TZ Tujue hatma za post zetu.
Live
jaman kesho axubuh cheki TBC Sa 1 KASORO JAMBO TZ Tujue hatma za post zetu.
Live
Wewe kijana si ndo uliwaambia wenzako kuwa tarehe 15/5 sasa imekuaje tena?
Ulitukana na baadhi ya wachangiaji walipokuambia ukweli!!
Angalia kauli zako,zitakucost..
Tulitaka tuwasaidie angalau mpate pesa za kutumiatumia lakini kwa maneno yenu mchafu hamfai acha mjifunze maisha kwanza!!
Usijali manundu tumesha fuatilia na tumesha mfahamu huyu bwana na matusi yake hafai kuwa mwalimu na tunashughulikia
Anaitwa .................... na amemaliza........... . vijana moja ya sifa ya mwalimu bora ni pamoja na mwenendo wako pamoja na kauli , hata kama una jazba jaribu kukistahi kinywa chako.
hata kama ametukana unachotakiwa ni kumripoti kwa mods sio kuleta name calling humu tafadhali invinsible toa huyu jamaa
Haita kusaidia.
jaman wahanga wenzangu polen xana
nimeambiwa kesho -15/5 majina yanatoka mana nmeambiwa na naibu wazr leo dom kulpot 1/7