Nilichogundua kuhusu Wanawake wa Mombasa...

Tanga kwenda Mombasa unakatisha tu Duga Maforoni. Vijana wa Tanga Jumamosi wanakwenda disco Mombasa wanarudi Jumapili
unahatari wewe, hebu tuambie umbali wa tanga na mombasa ndio tuamini unachosema, otherwise u are wrong
 
Huijui Mombasa ww Njoo huku Mombasa usiku ndio utajua ni kusema kitu gani.
 
Alik

Alikiba si mchezo ,harusi yake pia imehudhuriwa na raisi wa Mambasa Ustaadhi Hassan Joho wote wakiwa wamevaa kiunoni majambia ya Oman-Muha /Mmanyema na majambia wapi na wapi bana.
Pole kwa maumivu
 
wewe nina hakika unapajua mombasa mtoa post kadhihirisha madhaifu mengi mno na nina hakika kapaona mombasa kuoitia harusi ya kiba tena pale ukumbini tu. ChingaOne umeteleza bro. mombasa haiko kama ulivyoiandika kwenye uzi huu umeprove failure
kwa io unataka kusemaje chalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…