Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
NgabuuKwa hiyo wanawake wa Mombasa wote wako hivyo?
Wowzers!!
Hahahaaakudadeki una maneno magumu hapo mistari ya mwisho sijakuelewa we mwanamke, sijui kigego sijui tashtiti
unahatari wewe, hebu tuambie umbali wa tanga na mombasa ndio tuamini unachosema, otherwise u are wrongTanga kwenda Mombasa unakatisha tu Duga Maforoni. Vijana wa Tanga Jumamosi wanakwenda disco Mombasa wanarudi Jumapili
naaam uko sawaMombasa ipo kama Das lam
Pole kwa maumivuAlik
Alikiba si mchezo ,harusi yake pia imehudhuriwa na raisi wa Mambasa Ustaadhi Hassan Joho wote wakiwa wamevaa kiunoni majambia ya Oman-Muha /Mmanyema na majambia wapi na wapi bana.
hii username yako ni kwerePole kwa maumivu
Hili lina ukweli hasaaa!!!Kumbuka hata alshaabab na boko haram wanajisitiri ila wakishawashika mateka huwa wanawaua na wengine kuwajaza mimba
Bidhaa mpya 4 zimeingia maeneo yale mkuu...kumuulizie Hafsa kutoka Tanga ni kwereeee...!mombasa=tigo
nyie mtachomwa motoBidhaa mpya 4 zimeingia maeneo yale mkuu...kumuulizie Hafsa kutoka Tanga ni kwereeee...!
Cc: Lokio
Na nani?nyie mtachomwa moto