Nilichogundua kuhusu Wanawake wa Mombasa...

Nilichogundua kuhusu Wanawake wa Mombasa...

Hata akiwa na miaka 100 haina shida si amempenda mwenyewe? Ulitaka amuoe wema mwenye miaka 26 tangia mwaka juzi?
 
Kama Wema Sepitu ni miaka 25, utabishaje huyu kuwa na miaka 23
 
kiba 100 kaingizwa mjini watu wanakata rufaaa eti mkee kadanganya age na kapicha apo chini....View attachment 750724


Sishangai kuona mtu kama Wema ana like message yeyote ya Kiba au Diamond kuoa mtu mwingine...anatumia kwanini kaka zake wasimuoe yeye na kwenda kuoa nje. Wanawake wengi wa kibongo hawajitambui, wao wanafikiri kuwa kichaa na fuska ndiyo sifa za kupata mwanamme.....watasugua sana gaga....watakuja kushituka wako in their late 50's wanaume wamewachoka na kuwacheka.
 
Kama Wema Sepitu ni miaka 25, utabishaje huyu kuwa na miaka 23


Wema anakaribia miaka 40 sasa ila bado ana act like mtoto aliyezaliwa miaka 13 iliyopita. Wenzake wanaolewa yeye anasuswa na kubaki kuchezewa tu na kina Diamond, matokeo yake kwa hasira anajipiga mapicha akionyesha makalio.
 
Back
Top Bottom