Na bado watalia sana,, si hawasikii heheheVilio na misiba vimetawala ndoani
Nipooo....mamboUpo kweli?
Ndo ukweliNa bado watalia sana,, si hawasikii hehehe
Kawaida ya Mazingira,, yakikufundisha na usipoelewa,,, huwa yanarudia tena,,, usipoelewa pia yanarudia tena.... Yatakuacha Salama pale tu utakapoelewa na kubadilika....
Kuna Wadada wengine NDOA kwao ni ile Sherehe tu...,show off.
Ah baridi ni kali kweli kweli...vipi wanafunzi awajamboUmepoa kweli
Naona leo umeamua kutuwekea nundu hiyo...wanafunzi wana kaziWazima kabisa
Vipi lakini umepata ufumbuzi wa matatizo yako ? Ukumbuke lakini de libolo ni mojja la suluhisho🤣🤣🤣🤣🙌haya bhana
Nimeipenda hii [emoji23]Mimi rumu navitanda viwili..mke wangu ana lala chake na mimi changu..mambo ya kubanana sitaki kabisa.[emoji28]tunatembelea kipindi cha mahitaji maalumu ya kimwili tu baada ya hapo kila mtu akalala kwenye kitanda chake.
Ah unapiga mazoezi...safi ila ukivaa vile vityt vya mazoezi na hilo zigo sii hatariNakomaa na zoez la mwili Kwa sasa
Wee hilo vibration sio kawaidaKawaida kama wengine
Selfika basi ukiwa mazoeziniKawaida kama wengine