Hamna bwana ndoa na misele inawezekana sana cha msingi misele iwe wote mnapenda. Sasa wewe unaoenda mpira alafu unaenda kuolewa na mtu ambaye hapendi mpira so nyie kinachowaunganisha hapo ni nini. Kuwa na mtu ambaye mna similar interests, ndicho kitawafanya mdumu ukiondoa kugegeduanaYaan ukishakubali kuolewa au kuoa ujana weka pembeni Kaa kifamilia na kimajukumu.Alichemka...ndoa na misele wapi na wapi
Sasa jaman kwan mnashikiwa bunduki kwamba lazima kuoa 🤣Mnataka wanaume tufee eeh...loh rohoo mbaya tuu
Hahaha tako kitu chingine mrembo...yaani ukilipapasa tuu full burudani. Sii unaona ata warembo wenyewe wanajua kuwa tako ndio kivutio cha wanaumeDuniani wawili wawili mkishindwana bas
🤣🤣🤣🤣Uko very addicted na tako
Misele na mwanamke huo ni utandawaz.Kiuhalisia mwanamke akiolewa atulize komwe home,yamtoe mahitaji ya nyumbani na siyo kwenda club aiseeHamna bwana ndoa na misele inawezekana sana cha msingi misele iwe wote mnapenda. Sasa wewe unaoenda mpira alafu unaenda kuolewa na mtu ambaye hapendi mpira so nyie kinachowaunganisha hapo ni nini. Kuwa na mtu ambaye mna similar interests, ndicho kitawafanya mdumu ukiondoa kugegeduana
Sio lazima ila sasa mtakula wapi nyie wanaume wote wasipo oaSasa jaman kwan mnashikiwa bunduki kwamba lazima kuoa 🤣
Ah atulize komwe nyumbani 🤣🤣🤣🤣 una maneno wewe. Sasa kwani kwenda club na mumeo kusaka rhumba kuna tatizo gani?Misele na mwanamke huo ni utandawaz.Kiuhalisia mwanamke akiolewa atulize komwe home,yamtoe mahitaji ya nyumbani na siyo kwenda club aisee
Mbna tunabebeshana lawama ambazo sio zetu. Hayo ni maamuzi yao wenyewe.Mnawaharibu wanaenda surgery
Kila mwanamke anahitaji mwanaume mbona wengine hawaendi kufanya makuzo ya matakle yao. Hao akili zao ni finyu tuu.Wanawahitaji nyie hamwahitaji walivyo
Sio lazima ila sasa mtakula wapi nyie wanaume wote wasipo oa
Ni kweli sio wote ila wengi wenu ni hivyo. Maana isingekuwa hivyo basi mwanamke anaweza pata mtoto na mwanaume alafu aka ishi na mtoto wake basi.Si wanawake wote wanategemea wanaume kuendesha maisha yao.
Wasiopenda matako makubwa hawapendwi na wanawake flat....😆mapenz bhana🙄🤔Kila mwanamke anahitaji mwanaume mbona wengine hawaendi kufanya makuzo ya matakle yao. Hao akili zao ni finyu tuu.
Wapo wanaume ambao hawapendi matako makubwa. Wao wanapenda viportable.
Ahahaha umefanya utafiti lini wa hili jambo mpaka ukaja na hiyo conclusion?Wasiopenda matako makubwa hawapendwi na wanawake flat....😆mapenz bhana🙄🤔
Sasa kama tumeshaligundua hilo kwa nini tuna ng'ang'ana na mambo ya ndoa....sii tupeanage utamu tuu kila mtu aendelee na kusaka pesaNamaanisha always mapenz ni vise versa...unaempenda hakupendi