Hamna bwana ndoa na misele inawezekana sana cha msingi misele iwe wote mnapenda. Sasa wewe unaoenda mpira alafu unaenda kuolewa na mtu ambaye hapendi mpira so nyie kinachowaunganisha hapo ni nini. Kuwa na mtu ambaye mna similar interests, ndicho kitawafanya mdumu ukiondoa kugegeduanaYaan ukishakubali kuolewa au kuoa ujana weka pembeni Kaa kifamilia na kimajukumu.Alichemka...ndoa na misele wapi na wapi