Nilichogundua mwenzenu

Nilichogundua mwenzenu

Mimi rumu navitanda viwili..mke wangu ana lala chake na mimi changu..mambo ya kubanana sitaki kabisa.[emoji28]tunatembelea kipindi cha mahitaji maalumu ya kimwili tu baada ya hapo kila mtu akalala kwenye kitanda chake.

Uwii navyopenda kukumbatiwa mie
 
Mimi huwa sijui kuachana na mwanamke,huwa tunapotezana tu kutokana na umbali,hata demu wangu wa 2003 bado tunawasiliana

Sasa wakati naoa mwanamke wangu akaanza kunipa mashariti eti niwaambie hao watu wangu wa zamani na marafiki wa kike kuwa nimeoa kila wanaponipigia sm,hik kitu sikuweza maana najua nikiwaambiwa hawatajisikia poa na wakat mwingine mtu anakupigia sm kufurahisha akili yake huenda kachanganywa huko alikokuwa.

Inshu nyingine iliyokuwa inanichosha mpaka sasa inanichosha ni kulazimishwa kuoga kila siku,nipo mkoa ambao hali yake ya hewa ni ya kawaida hakuna joto,sasa siku nazoshinda nyumban na ukute sijafanya kazi ya kunitoa jasho huwa sipendi kuoga kabisa.

Wewe oga bana acha uvivu
 
Mwanamke ndo anatakiwa aolewe mapema 18-25 akichelewa hapo muda unamuacha
Mwanaume anatakiwa aoe akiwa na miaka 30 hii miaka 20-30 ni miaka Ya kujijenga,kibusara(kuwa na maamuzi sahihi),kiuchumi uweze kuhudumia hiyo familia maana mwanaume huna msaada wowote hata mtu akikuuliza uko poa? Unatakiwa umjibu tu ndio Niko sawa maana maana hata ukijibu hauko poa hakuna atakae jali shida zako
 
Back
Top Bottom