Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa hiyo ni kweli. Ila pia inapaswa uumpe mkeo/ mume uhuru wake. Sio kila jambo mtafanya pamoja.Pamoja Haina shida siyo kivyako kama swalha
Kwani wewe ukipata mwanamke ambaye u like na mnapeanaga utamu utakaka mbegu yake akakuoa ukatotoa mtoto wako mzuri kuna ulazima gani wakuwa unaishi na huyo mwanaume? Yaani unammiss nini ambacho kwenye ndoa unapata?Ni rahisi kusema Ivo coz ushaoa
Bas huyo anakuwa Hana familia,sometimes uzungu tuweke Kwa kando tulee watoto...ndo maana housemaid now wananyonga tu.Umetoka job Kaa kidogo na wanao..Sawa hiyo ni kweli. Ila pia inapaswa uumpe mkeo/ mume uhuru wake. Sio kila jambo mtafanya pamoja.
Mke anataka kwenda outing na gelofrends wake mwacha aende...there is more to life ata kama umeshaolewa.
Uwepo wake kivipi? Yaani kugegeduana ama kukutunza🤣🤣🤣🤣🤣Uwepo wake
Ni kweli wanawke wengi kwa sasa hawafai kuwa wake maana ndio hivyo starehe nyingi kila kitu kamuachia maid.Bas huyo anakuwa Hana familia,sometimes uzungu tuweke Kwa kando tulee watoto...ndo maana housemaid now wananyonga tu.Umetoka job Kaa kidogo na wanao..
Weekend shinda nao waenjoy kidogo sura ya mama jaman
Kwani mie na wewe hatuwezi kuwa marafiki lakini tunagegeduana siku moja moja tunalala pamoja though kila mtu na nyumba yake.Ndoa ni urafiki...uwepo wa rafiki yako
Hapa siwez pata kitu..Kwani mie na wewe hatuwezi kuwa marafiki lakini tunagegeduana siku moja moja tunalala pamoja though kila mtu na nyumba yake.
Pia unakuwa huru siku mmemtamani coworker wako unaenda unagonga nae mgeggedo maisha yanaenda.
Kitu gani wewe ....kuwa mkweli nyie mnataka huduma tuu🤣🤣🤣🤣🤣Hapa siwez pata kitu..
Haya sawa
Eeh sasa hapo umenena.Ukaribu huleta huduma
[emoji848]Kwani mie na wewe hatuwezi kuwa marafiki lakini tunagegeduana siku moja moja tunalala pamoja though kila mtu na nyumba yake.
Pia unakuwa huru siku mmemtamani coworker wako unaenda unagonga nae mgeggedo maisha yanaenda.
Huduma zote zote [emoji16]Kitu gani wewe ....kuwa mkweli nyie mnataka huduma tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi mrembo njoo tuyajenge. Hamna presha tunaenjoy maisha tuu huku tunakuwa tunapelekeana moto[emoji848]
Huduma zote zote wapi...nyie mnataka tuu wanaume watumie hela zao towards u. Pay all the billz in the houseHuduma zote zote [emoji16]
Kwani wewe ukioa majukumu yako ni yapi?Huduma zote zote wapi...nyie mnataka tuu wanaume watumie hela zao towards u. Pay all the billz in the house
Majukumu yangu ni kuipelekea moto mbususu, kumjaza mimba mwanamke , kulipa ada, kujenga nyumba na kulinda familia kwa ujumla wake.Kwani wewe ukioa majukumu yako ni yapi?