Nilichogundua mwenzenu

Nilichogundua mwenzenu

Mimi huwa sijui kuachana na mwanamke,huwa tunapotezana tu kutokana na umbali,hata demu wangu wa 2003 bado tunawasiliana

Sasa wakati naoa mwanamke wangu akaanza kunipa mashariti eti niwaambie hao watu wangu wa zamani na marafiki wa kike kuwa nimeoa kila wanaponipigia sm,hik kitu sikuweza maana najua nikiwaambiwa hawatajisikia poa na wakat mwingine mtu anakupigia sm kufurahisha akili yake huenda kachanganywa huko alikokuwa.

Inshu nyingine iliyokuwa inanichosha mpaka sasa inanichosha ni kulazimishwa kuoga kila siku,nipo mkoa ambao hali yake ya hewa ni ya kawaida hakuna joto,sasa siku nazoshinda nyumban na ukute sijafanya kazi ya kunitoa jasho huwa sipendi kuoga kabisa.
 
Nimesoma maelezo ya mtoa post,Ila kiukweli ikifikia mtu unatamani mwenzio asafir au achelewe kurudi nyumbani au apitilize alale huko huko hiyo ni dalili kuwa hapo hakuna mapenzi.
Kuna mambo mawili, moja huenda mahusiano yenu sio mazuri Kwa maana upendo hakuna tena,pili umeoa au kuolewa na mtu ambaye sio sahihi yaani hujampenda Kwa dhati,hapo tuwe wakweli ebu chunguza ndoa yako ni ya namna gani mpaka ujihisi hivyo,ukiwa mkweli na nafsi yako ukweli utaupata.

Kuna mchangia mada mmoja amesema yeye hapendi kubanana ktk kulala,ana vitanda viwili,yeye huku na mke Kule Hilo nalo ni kosa lingine,hakuna viumbe wanaopendwa kukumbatiwa kama wanawake,na pili inaongeza Sana mapenzi na inawafanya muwe karibu kisia,unajua mapenzi ni zaidi ya sex,kuna vitu vidogo vidogo vinqongeza MAHABA,je ni mara ngapi unamwambia mmeo au mkeo kuwa unampenda.

Kiukweli watu wengi wapo katika ndoa lkn wapo lonely/wapweke kwakuwa hawapo karibu karibu kihisia na wanaishi kimazoea Tu.
Ndoa ni changamoto
 
Mimi huwa sijui kuachana na mwanamke,huwa tunapotezana tu kutokana na umbali,hata demu wangu wa 2003 bado tunawasiliana

Sasa wakati naoa mwanamke wangu akaanza kunipa mashariti eti niwaambie hao watu wangu wa zamani na marafiki wa kike kuwa nimeoa kila wanaponipigia sm,hik kitu sikuweza maana najua nikiwaambiwa hawatajisikia poa na wakat mwingine mtu anakupigia sm kufurahisha akili yake huenda kachanganywa huko alikokuwa.

Inshu nyingine iliyokuwa inanichosha mpaka sasa inanichosha ni kulazimishwa kuoga kila siku,nipo mkoa ambao hali yake ya hewa ni ya kawaida hakuna joto,sasa siku nazoshinda nyumban na ukute sijafanya kazi ya kunitoa jasho huwa sipendi kuoga kabisa.
Jifunze kuacha
 
Majukumu yangu ni kuipelekea moto mbususu, kumjaza mimba mwanamke , kulipa ada, kujenga nyumba na kulinda familia kwa ujumla wake.

Wewe jukumu lako kama mke ni lipi
Kulea watoto mume na ada
 
Mimi huwa sijui kuachana na mwanamke,huwa tunapotezana tu kutokana na umbali,hata demu wangu wa 2003 bado tunawasiliana

Sasa wakati naoa mwanamke wangu akaanza kunipa mashariti eti niwaambie hao watu wangu wa zamani na marafiki wa kike kuwa nimeoa kila wanaponipigia sm,hik kitu sikuweza maana najua nikiwaambiwa hawatajisikia poa na wakat mwingine mtu anakupigia sm kufurahisha akili yake huenda kachanganywa huko alikokuwa.

Inshu nyingine iliyokuwa inanichosha mpaka sasa inanichosha ni kulazimishwa kuoga kila siku,nipo mkoa ambao hali yake ya hewa ni ya kawaida hakuna joto,sasa siku nazoshinda nyumban na ukute sijafanya kazi ya kunitoa jasho huwa sipendi kuoga kabisa.
Hata bila kufanya kazi mwili una kawaida ya kutengeneza uchafu kila baada ya muda fulani. Jitahidi kuoga aisee.
 
Shida yako wewe huamini katika ndoa
Hapana sio hivyo mrembo mie mbona nasaka ndoa kinoma tatizo kupata wanawake wanaotaka kuwa wake na sio wale wanaotaka kuolewa kama ni fashion vizle. Baada ya siku mbili tatu mnaanza mauzi ndani ya nyumba
 
Aah wapi, labda kama comments zako humu zisiwe za ukweli vinginevyo wewe ndoa haikufai.
Hapana sio hivyo mrembo mie mbona nasaka ndoa kinoma tatizo kupata wanawake wanaotaka kuwa wake na sio wale wanaotaka kuolewa kama ni fashion vizle. Baada ya siku mbili tatu mnaanza mauzi ndani ya nyumba
 
Aah wapi, labda kama comments zako zisiwe za ukweli vinginevyo wewe ndoa haikufai.
Ah wee mrembo achana na comment za jf....njoo nikuwowe upate watoto wako wawili uwe wanipakata na mie huko nanyonya titi🤣🤣🤣
 
Mambo? Unachelewa kuoa au kuolewa ndivyo utavyopata matokeo hasi ukishapata ndoa.
1.utaanza kuhisi kilakitu afanyacho mkeo/mmeo anakosea sababu ulishazoea tuvisheria twako.

2.kubughuziwa(to feel uncomfortable)....kuanzia kulala wawili kitandani na kushea anything(uchoyo unaanza hapa)

3.kutamani kuishi pekeyako Tena,kutaman mwenzio asafiri,akienda kazini achelewe kurudi au alale hukohuko[emoji1787],akirudi apitilize kulala ataoga asubuhi[emoji38].

4.Ongezeeni nilivyosahau(kuweni wakweli)

NB:Oaneni mapema kabla akili na mwili havijajizoea kuishi vyenyewe ili msipigane risasi(ndoa ni urafiki)

[mention]to yeye [/mention] NAKUPENDA BABE
 
Back
Top Bottom