Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi wapi wee njoo bwana tuyajenge tena unavyopend kupelekewa moto na baridi hili sijui unawezaje survive huko green cityUna kaz kwelikweli
washaurini waoe tu mkuu ndoa tamu bana!Ndio tunawasubiri hapa jf tuwapage ushauri
Ah wee hizo ndoa zina survive kwa kupitia machine za michepukoHa ha haa,mbona watu wengi humu wapo kwenye ndoa zao mkuu
Tena nimepata taarifa kuwa baridi ni mpaka mwezi wa nane.Hahahaa,aisee
Utamu wake nini wakati unatakiwa kugegeda mbususu moja tuuwashaurini waoe tu mkuu ndoa tamu bana!
Utelezi utaganda huo🤣🤣🤣🤣Acha itukomoe
Hiyo mbona itakuwa tamu sana...Utakufa imedinda ....maana khaa
Hahahaaaa.... sikuhizi tunapiga wenyewe kuulizia kama walipiga na hatukuzisikia!Watu wanataka mambo ya risasi wakayashuhudie wenyewe siyo kusimuliwa tu
Mnaogioa miminia risasi eehHahahaaaa.... sikuhizi tunapiga wenyewe kuulizia kama walipiga na hatukuzisikia!
Kabisa dada!Na ndiyo mahaba yenyewe