Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Na anakuja kujitangaza kabisa..
Namuonea huruma sana atakayekuja kukuoa maana atakachokuja kukutana nacho hataamini
Unasafiri 900km na Zaidi kwenda kugawa tunda
Ngoja nikae kimya iitakua mi ndo mshamba
 
Ooh thank you for your comment!

Labda goja nikuambie kitu,kama unafuatilia dunia ya leo ndoa nyingi zinavunjika koz ya love ya mtu kukaa japan the 2nd couple anakaa Dar hii ni hatari

Kilichonishangaza wewe ku trust mtu without taking time to know his ins and outs then you dare been f*ckd by him and you are ready to stay with the guy for a week serious!? An elite?

Najua mapenzi hayaangalii haya lakini linapokuja suala la mapenzi ya kweli we take time kuchunguza mpenzi huyo wewe unapata wapi moral authority ya kumchallenge mwanaume asiyevaa condom? Na waliowengi wanaodare ku engage kwenye mapenzi ya namna hii wengi wao huwa

Wameachika,
Ma konk wa ngono
Wanaojiuza
Wasomi waliotelekezwa na kukimbilia mitandaoni wakidai mapenzi ni popote
Walipowe mimba njemba zikasepa so wanategemea assssssss
Waliokata tamaa ya ndoa


Sasa sijajua wewe u kundi gani?
 
Baba alikubatiza jina zuri sana, eti mtu anaitwa Paula Paul!
Asante Behaviourist. Umejuaje ni jina langu kweli?

Kingine ambacho haukijui na natamani ukijue.
Baba anaitwa Paul (Paulo) M..
Mama anaitwa Paulina Paul.
Twin sister anaitwa Paola Paul.
Mimi ninaitwa Paula Paul.
Na mdogo wetu anaitwa Patrick Paul.
 
Asante Behaviourist. Umejuaje ni jina langu kweli?

Kingine ambacho haukijui na natamani ukijue.
Baba anaitwa Paul (Paulo) M..
Mama anaitwa Paulina Paul.
Twin sister anaitwa Paola Paul.
Mimi ninaitwa Paula Paul.
Na mdogo wetu anaitwa Patrick Paul.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119][emoji119]umenikomesha ila wazee wa pm watakukomesha zaidi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…