Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

sisi wakazi wa ununio. Mahali Upepo unapovuma maswala hayo hatuna.

Vijana hawajali kuhusu afya zako kabisa

Mnakulanaje bila condom Tanzania ya sasa hivi ambayo kwa siku mmoja watu 200 wanaambukizwa virusi na asilimia 80% ya hao ni jinsia ya kike.

Offer offer hizi na tamaa za kimaisha
Zinawamaliza sana kina dada wengi.
Ya humu ndani mazitoooo
 
Nimesoma post ya Priscallia namna alivyopata 'HIV' na namna alivyokuwa akigawa uroda kwa wanaume wa JF.

Pia nimezingatia post ya cutelove

Mimi mwenyewe nimewahi kutongoza humu nikakubaliwa ila nilikacha kuonana nao.

Hao wadada ni as follows:

Nitataja herufi za mwanzo za ID tu:

1.Ca

2.fe

3.ma

4. Me
Huyo me alinisimulia jinsi alivyosex na mwanaume wa JF japo ana mume na kuniambia kwamba Huyo mwanaume alimtia vizuri kuliko mumewe na hajawahi pata boro tamu as such.
Wengine sikumbuki

Pia nimezingatia comments za wanaume kwenye post mbalimbali humu JF
Aisee, wiki ya Ukimwi JF
 
Mimi nimejaribu Kwa lugha za mahaba lakini wapi, sijui tatizo liko wapi, au nyota yangu haing'ai[emoji39] hujambo Paula?
Wewe mwandiko wako unavutia kusoma bila hata lugha ya mahaba. Wamekukatili tuu coz naweza kuona nyota yako inang'aa.

Sijambo Eli, thank you for asking. Nimesikia fahari sana.
Mzima wewe Eli?
 
Wewe mwandiko wako unavutia kusoma bila hata lugha ya mahaba. Wamekukatili tuu coz naweza kuona nyota yako inang'aa.

Sijambo Eli, thank you for asking. Nimesikia fahari sana.
Mzima wewe Eli?

Kumbe wamenikatili, sijajua tatizo langu ni nini! Lakini kwa vile unadhani nyota ipo vizuri basi sipati shida kuwaza.

Nimefurahi pia kukuona humu, mimi sijambo kabisa.
 
Kumbe wamenikatili, sijajua tatizo langu ni nini! Lakini kwa vile unadhani nyota ipo vizuri basi sipati shida kuwaza.

Nimefurahi pia kukuona humu, mimi sijambo kabisa.
Japo nina hakika malalamiko yako sio ya kweli.
 
Nimesoma post ya Priscallia namna alivyopata 'HIV' na namna alivyokuwa akigawa uroda kwa wanaume wa JF.

Pia nimezingatia post ya cutelove

Mimi mwenyewe nimewahi kutongoza humu nikakubaliwa ila nilikacha kuonana nao.

Hao wadada ni as follows:

Nitataja herufi za mwanzo za ID tu:

1.Ca

2.fe

3.ma

4. Me
Huyo me alinisimulia jinsi alivyosex na mwanaume wa JF japo ana mume na kuniambia kwamba Huyo mwanaume alimtia vizuri kuliko mumewe na hajawahi pata boro tamu as such.
Wengine sikumbuki

Pia nimezingatia comments za wanaume kwenye post mbalimbali humu JF
Nimeelewa Aikambee
 
Back
Top Bottom