Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Asee mnomno
Umezinguaaaa[emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezinguaaaa[emoji38]
Ya humu ndani mazitoooosisi wakazi wa ununio. Mahali Upepo unapovuma maswala hayo hatuna.
Vijana hawajali kuhusu afya zako kabisa
Mnakulanaje bila condom Tanzania ya sasa hivi ambayo kwa siku mmoja watu 200 wanaambukizwa virusi na asilimia 80% ya hao ni jinsia ya kike.
Offer offer hizi na tamaa za kimaisha
Zinawamaliza sana kina dada wengi.
Sipo jaman, pale nimeokokaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Wooiiii
Aisee, wiki ya Ukimwi JFNimesoma post ya Priscallia namna alivyopata 'HIV' na namna alivyokuwa akigawa uroda kwa wanaume wa JF.
Pia nimezingatia post ya cutelove
Mimi mwenyewe nimewahi kutongoza humu nikakubaliwa ila nilikacha kuonana nao.
Hao wadada ni as follows:
Nitataja herufi za mwanzo za ID tu:
1.Ca
2.fe
3.ma
4. Me
Huyo me alinisimulia jinsi alivyosex na mwanaume wa JF japo ana mume na kuniambia kwamba Huyo mwanaume alimtia vizuri kuliko mumewe na hajawahi pata boro tamu as such.
Wengine sikumbuki
Pia nimezingatia comments za wanaume kwenye post mbalimbali humu JF
Tena kaazi kwelikweli..Kazi ipo mwaka huu[emoji23][emoji23]
Duh umetupia wengi wanaume wa jf,
Ayaa sijui nilikuwa wapi wakati wengine wanapitiwa
Wewe mwandiko wako unavutia kusoma bila hata lugha ya mahaba. Wamekukatili tuu coz naweza kuona nyota yako inang'aa.Mimi nimejaribu Kwa lugha za mahaba lakini wapi, sijui tatizo liko wapi, au nyota yangu haing'ai[emoji39] hujambo Paula?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena kaazi kwelikweli..
Wewe mwandiko wako unavutia kusoma bila hata lugha ya mahaba. Wamekukatili tuu coz naweza kuona nyota yako inang'aa.
Sijambo Eli, thank you for asking. Nimesikia fahari sana.
Mzima wewe Eli?
Wewe hauoni ""wanaambukizwa Ukimwi"".Lakini mbona wengine wana faudu sana humu...!!??
Japo nina hakika malalamiko yako sio ya kweli.Kumbe wamenikatili, sijajua tatizo langu ni nini! Lakini kwa vile unadhani nyota ipo vizuri basi sipati shida kuwaza.
Nimefurahi pia kukuona humu, mimi sijambo kabisa.
Nimeelewa AikambeeNimesoma post ya Priscallia namna alivyopata 'HIV' na namna alivyokuwa akigawa uroda kwa wanaume wa JF.
Pia nimezingatia post ya cutelove
Mimi mwenyewe nimewahi kutongoza humu nikakubaliwa ila nilikacha kuonana nao.
Hao wadada ni as follows:
Nitataja herufi za mwanzo za ID tu:
1.Ca
2.fe
3.ma
4. Me
Huyo me alinisimulia jinsi alivyosex na mwanaume wa JF japo ana mume na kuniambia kwamba Huyo mwanaume alimtia vizuri kuliko mumewe na hajawahi pata boro tamu as such.
Wengine sikumbuki
Pia nimezingatia comments za wanaume kwenye post mbalimbali humu JF
😎😎Uchochezi huu
Baba alikubatiza jina zuri sana, eti mtu anaitwa Paula Paul!Wewe hauoni ""wanaambukizwa Ukimwi"".
Woiiiii😂😂😂kuokoka muhimuu ili tufike mbinguni jomonii lolSipo jaman, pale nimeokokaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Wooiiii