Song il gok
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 878
- 938
Me nimekuelewa sana ulichokimaanisha,achana na hao wanaokukebehi but trust me hao wanaoponda ndio wanaongoza kwa kufanya hizi mambo.Hongera kwa kua muwazi next time kuwa makini usituamini sana sisi wanaume.Silinganishi ila hayo majina
Ninawavutia vijana nipate shemeji wa ukweli mdogo ake. Halafu msema kweli ni mpenzi wa Mungu [emoji23][emoji23]Maneno haya hayakustahili kutoka kwa kaka angu jamani..
MREMBO haswaaaaa nimesha m verify muda sana tatizo linalonishnda ni 1 tuIlà yna2 ni mrembo haswaaa! Yaani mtoto huyu dah!!
Tayari nilikuwa nimesha jiandaa kukuja PM ili nawewe ufunge safari from Bukoba yako to Dodoma...teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbuka nilichangia kabla sijasoma uzi, ngoja nikabadili maneno yangu kule juu, sikujua kumbe walengwa ni wa jf tu?
Chai hii....halad ww na yule mwenzako lazima mtakua mtu mmoja.Maana nyote mlipotea hapa kat halaf kwa pamoja mmerud na kupanfisha nyuzi ambapo ndani ya contant kila nyuz ina mrefer mwenzake.Siyo kazi yangu ili mpenz aridhike kuwa na mimi
😊😊😊Twin sister..wow!
Kaka ake..mashemeji tena!??Ninawavutia vijana nipate shemeji wa ukweli mdogo ake. Halafu msema kweli ni mpenzi wa Mungu [emoji23][emoji23]
Mkuu usipotezee ile ma iliyotajwa!
usintafute ebu 😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasikia unafahamiana na mleta mada..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]MREMBO haswaaaaa nimesha m verify muda sana tatizo linalonishnda ni 1 tu
kumpata wala sio tatizo, ila sasa yna2 nikiwa nae nahisi couple itakua kama dogo janja vs Uwoya
unajua ile Body matching ina matter sana kwangu kabla ya kuanzisha mahusiano,sema yna2
ipo siku ntakunywea pombeeeeeeeee halafu nakuja sasa,we kausha hapo hapo.
Risk taker ndiyo wazuri hao..huchepuki ovyo.usintafute ebu [emoji23]
Mtu anatoka Bukoba to Dar huyu mtu sitaki hata fahamiana nae
maana akisikia unachepuka Upo UK ni atakupandia flight aje akufumanie tu.
Huyu ni risk taker na wanawake wa hivi hashindwi kukugeuza hata ndondocha lake.
Ukimwi haupo mkuu, hizo ni simulizi tu. Ebu nifanyie wepesi bahan.....Wewe hauoni ""wanaambukizwa Ukimwi"".
[emoji2307][emoji2307][emoji2307]nisamehe mdogo ake!!Kaka ake..mashemeji tena!??
Umesahau wewe ndiye uliyetoa idhini siku ile ya mahali..umtakii mema mdogo wako
Wazazi sijui huwa wanafikiria nini😊😊😊.Umenikumbusha familia ya rafikia nagu wao majina yote yanaaza na D.
Deniss
Daniel
Dissen
Donnick
Dommy
Asante Behaviourist. Umejuaje ni jina langu kweli?
Kingine ambacho haukijui na natamani ukijue.
Baba anaitwa Paul (Paulo) M..
Mama anaitwa Paulina Paul.
Twin sister anaitwa Paola Paul.
Mimi ninaitwa Paula Paul.
Na mdogo wetu anaitwa Patrick Paul.
Tatizo hataki kujibu PM mleta mada, labda kuna foleni ndefu sana huko....Kama naona midume inayokandia hapa ila inakimbizana pm kwa mleta mada...[emoji1787][emoji1787]
Leta link maana mimi JF ni msomaji tuMkuu, umenikunbusha mbali sana kuhusu mleta mada na ule uzi....
Anyway, ebu ngoja nikae kimya