Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Lol, tunaendeleza kizazi cha P, PNami Mume wako mtarajiwa naitwa Peter [emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lol, tunaendeleza kizazi cha P, PNami Mume wako mtarajiwa naitwa Peter [emoji28]
Tatizo hataki kujibu PM mleta mada, labda kuna foleni ndefu sana huko....
Ni simulizi?😊😊😊Ukimwi haupo mkuu, hizo ni simulizi tu. Ebu nifanyie wepesi bahan.....
Nina rafiki yangu anaitwa prisca..mumewe PauloUmenikumbusha familia ya rafikia nagu wao majina yote yanaaza na D.
Deniss
Daniel
Dissen
Donnick
Dommy
Naomba ubaki hapahapa..Tatizo hataki kujibu PM mleta mada, labda kuna foleni ndefu sana huko....
Mkuu woga wako ndio umasikini wako.Mnawapataje wapenzi huku JF maana wengi wanatumia majina Fake ? Na Ni ni link ipi ya kuwapata?
Huyo wa pili ni Mimi bila shaka.Ra
Pa
Ja
Ni
Ad
Hap
Sal
Mic
Sisi tupo Randomly ila tu tuna majina ya kufanana watatu.. jina la babu
Ni siri yetu nitapitia pm baadaye kukueleza kwa faida yetu tu mama [emoji851]ID ipi mzee baba
Hata mimi nashangaa sana mkuu, yaani wengine tulisha sotea sana hata PM hatujibiwi..teh[emoji23]
Mkuu, ukichangamsha macho utauona tuLeta link maana mimi JF ni msomaji tu
Hapa ni mauza uza ya kuongeza taharuki na kutiana presha tu kwenye hii wiki ya ukimwi hapa jf.Mzee umechangamka sana Embu nipe summary nini kinaendelea hapa ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tusiwe wepesi kuhukumu.Dada, sisi tunasoma katikati ya mistari.
Wewe unatoka Bukoba mpaka Dom kumfuata mwanaume, unatoka Bukoba mpaka Dar mara mbili kufuata wanaume. Ina maana unajisafirisha kwa gharama zako? Jibu ni hapana. Hawa wanaume wanakulipa na kukusafirisha kuwafata. Unasema uko tayari kukaa hata wiki au zaidi na mwanaume ili aridhike, hii inamaanisha huna kazi nyingine ya kufanya. Na hapa umetutajia wanaume wa JF pekee, je huko unakoishi unao wangapi? Na hao waliokubali kutumia condom (ambao hujawataja hapa) ni wangapi? Halafu unajidai wewe sio sex worker?
Mimi nadhani hao wanaume unaokua nao ndio ilibidi waogope sana na wawe makini kuliko unavyoogopa wewe.
Wallahi tena....Ni simulizi?[emoji4][emoji4][emoji4]
🤭🤭🤭Ni siri yetu nitapitia pm baadaye kukueleza kwa faida yetu tu mama [emoji851]
Kweli naona unanitakia heri mkuu, maana sio kwa umeme huu ulivyo tamalaki jf wallahi...Naomba ubaki hapahapa..