Njopino
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 3,468
- 5,060
Kuna bahadhi ya ndugu zetu, week hii haipo salama kwao. Tuwaombee tu.Safi sana mkuu, ebu ngoja tusubirie wengine wakuje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna bahadhi ya ndugu zetu, week hii haipo salama kwao. Tuwaombee tu.Safi sana mkuu, ebu ngoja tusubirie wengine wakuje
Juzi kuna mmoja amedondoka kwa presha, kisa uzi wa jf akihusishwa kumkula yule Dada aliye waka...[emoji23]Kuna bahadhi ya ndugu zetu, week hii haipo salama kwao. Tuwaombee tu.
HahahahaDooh mara ya mwisho Kufanywa na kondomu sijui ilikua lini hakii. .kwa lile dude la huyu kaka mweeh. .
Anyway. .Thanks God
Cc Smart911
Itakuwa ngumu sana watu kukuelewa. ila mimi nimekusoma.Sio kwamba huwa tumekutana first time na ku-do LA hasha,kwanza tunafahamiana kwanza,tunazoeana ndo hayo mengine yanafuata,ndo maana yule wa Mbeya aliyenitembelea kwangu na kulazimisha kulala nyumbani kwangu na Mimi licha ya kumchukulia chumba lodge,nilikataa akazira na kuondoka
Teh Kuna kitu uliandika labda sio kizuri[emoji16]Naomba niseme mod unaye hariri huu Uzi una "wenge" kichwani
Comment yangu ilikuwa namba 4 umeifuta sijui una tatizo gani na Mimi .?
Ulidhani sitoshtukia [emoji57]
[emoji16][emoji16][emoji16]Lahaulaa.....
Naona umeamua kiunganisha Insta kwenye gredi pia eeehhhh..!!??
Babu usije kuwa uko kwenye list pia 😂 😂 😂Binafsi sijashangaa hilo la matumizi ya condom, ila nimeshangaa jambo jingine tu...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Tatizo hii avatar inaniangusha sana, na nilisha jaribu sana kuibadili ikagoma...
Kabisa[emoji1787]Usiyachukulie maisha serious ki ivyo mkuu.
Unaweza kuta mtoa mada ni dume tu kama wewe.
Paul wa DSM unamaanisha RC? Yule sio Paul na hana hata damu ya Paul inayozunguka kwenye mishipa yake.Binafsi yangu siwezi ita mwanangu paul.
Babu yangu mzaa mama kazaa watoto wawili,joyce na paul. Joyce ndiye mama yangu ambaye mama ake joyce ni mchaga,huyu paul ambaye ni mjomba wangu mama yake ni mkamba wa kenya.
Mambo yanayopita kwa paul na tabia aliyonayo havirandani na paul wa dsm,ila sijawai shawishika kuwa na paul kwenye damu yangu.
Nilijua moja kwa moja ni wewe kumbe sio?Mkuu, ebu ngoja kwanza wanaume tunao ishi Dodoma tupige kura ili kabla ya kuchangia tujuwe aliye kunyandua...
Anaishi wapi huyo mtu unayemjua? Mbali na Mimi sijifananishi na mwingine Lucas.I doubt with ur nomino hahahhaa inafanana na mtu fulani ambaye naww nadhani wamjua anyway huenda ndo ww nikjuaye
Week hii tutaona rangi zote.Juzi kuna mmoja amedondoka kwa presha, kisa uzi wa jf akihusishwa kumkula yule Dada aliye waka...[emoji23]
Chonka maki twaulibonangana Omuisiki?Sio kwamba huwa tumekutana first time na ku-do LA hasha,kwanza tunafahamiana kwanza,tunazoeana ndo hayo mengine yanafuata,ndo maana yule wa Mbeya aliyenitembelea kwangu na kulazimisha kulala nyumbani kwangu na Mimi licha ya kumchukulia chumba lodge,nilikataa akazira na kuondoka