Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

hii wiki ni wiki ya kutembea kwa usalama nyumba za wageni



eti mgeni rasmi ya wiki ya usalama nyumba za wageni humu JF naniii?
 
Sio kwamba huwa tumekutana first time na ku-do LA hasha,kwanza tunafahamiana kwanza,tunazoeana ndo hayo mengine yanafuata,ndo maana yule wa Mbeya aliyenitembelea kwangu na kulazimisha kulala nyumbani kwangu na Mimi licha ya kumchukulia chumba lodge,nilikataa akazira na kuondoka
Itakuwa ngumu sana watu kukuelewa. ila mimi nimekusoma.
 
Binafsi yangu siwezi ita mwanangu paul.
Babu yangu mzaa mama kazaa watoto wawili,joyce na paul. Joyce ndiye mama yangu ambaye mama ake joyce ni mchaga,huyu paul ambaye ni mjomba wangu mama yake ni mkamba wa kenya.

Mambo yanayopita kwa paul na tabia aliyonayo havirandani na paul wa dsm,ila sijawai shawishika kuwa na paul kwenye damu yangu.
Paul wa DSM unamaanisha RC? Yule sio Paul na hana hata damu ya Paul inayozunguka kwenye mishipa yake.
 
Sio kwamba huwa tumekutana first time na ku-do LA hasha,kwanza tunafahamiana kwanza,tunazoeana ndo hayo mengine yanafuata,ndo maana yule wa Mbeya aliyenitembelea kwangu na kulazimisha kulala nyumbani kwangu na Mimi licha ya kumchukulia chumba lodge,nilikataa akazira na kuondoka
Chonka maki twaulibonangana Omuisiki?
 
Back
Top Bottom