Nitapewa mimi nishaomba
😊[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Miso za nini mkuu!Hiyo mbona simple tu...Mimi huwa natembea na package zote kwa kibegi changu
Nina pep
Nina miso
Nina ndom
Nina vipimo vya ngwengwe
Nina pipi za kuzalisha utelezi
Nina ugoro kwa wanaopenda kuzima
N.k
Miso za nini mkuu!
mimi ni mzima kabisa, uwe na week nyeye baraka teleMzima, hujambo wewe?
Amenmimi ni mzima kabisa, uwe na week nyeye baraka tele
Bila kusahau ile nyama ya mdudu pendwa ambayo wamesema eti inasababisha kifafaHii wiki biashara za nyumba za wageni imepata changamoto kidogo
Mkeo ni bonge??Mimi bonge wangu anatosha![emoji1][emoji1][emoji1]
hata nyie huwa mnasema condom zinawawashaUkiwa nazo kwenye mkoba wanaweza wakafikiri wew ni sex worker.
dady jambo gani tena ulilolishangaaa?Binafsi sijashangaa hilo la matumizi ya condom, ila nimeshangaa jambo jingine tu...
Hahah...hebu tufanye stahi tu maana sredi ishapita hiidady jambo gani tena ulilolishangaaa?