Nilichogundua wanaume wengi wa JF hawatumii kondom, wanapenda 'Unprotected Sex'

Kuna mdau mmoja alisemaga kwenye uzi wa watu wanao ona wame yapatia maisha ni wadada wanao jiona wanajua kutumia condom.wanaona wameyapatia...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]me nna wasiwasi na afya yake asee,.Bukoba Dar mbali nyieeee[emoji38][emoji38]
Ukichangamsha macho kwenye utagundua kwamba kuna Wa Dodoma, Dar, Mbeya na Bukoba, alafu wote ni wanaume wa Jf....
Na alipo taja Dodoma, naona hadi wifi wako amepata kidogo mshtuko ndipo akanitumia link ya huu uzi
 
Jaman Wanao hudumiwa hapa ni wa Dar, dodoma na mbeya
Kama haupo katika mikoa tajwa above usilete bosho , kama ni wa mikoa tajwa twenzetu PM kwa mada teller , Muhimu uwe na ka mpira hata ka 100[emoji28][emoji28][emoji28]
 
mabaharia huku inaelekea wanapiga sana mizigo ...ila mabaharia wanatisha kondom hawataki hata rays hawataki vurugu tupu
 
Dada lizzy amekimbilia wapi?ukumbi ameachia takataka zinajidai kutembea mikoa kugawa umeme kama tanesco.
 
Mama unafanya shughuli gani zinazokufanya uwe free kwenda Dodoma, mara Dar na mara nyingine kwenda Dar ukaweza kutaka kukaa wiki nzima?

Najua hapa kuna mifano mingine umeiminya. Nataka zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…