Nilichojifunza BAADA YA KUPIGWA BAN..

muoga wa jf

Senior Member
Joined
Jun 27, 2016
Posts
198
Reaction score
224
Habari..

Nilichojifunza baada ya BAN...

1..INAUMIZA

2..PINDI UKIPINGWA BAN AKILI YA KUANDIKA THREAD MPYABINAKUJA...

3..UNA KASIRIKA UKIONA MTU ANA POST PUMBA NA ANAPETA...

4..PM ZINAPOTEA KABISA...

5..AISEE NIMEKUJA KWA HALI MPYA COMMENT UJINGA NTAKUJIBU HIVYO
 
Wanipige basi ban na mimi jamani, hawako fair wanaupendeleo kwa nini na mimi nisipewe?
 
mhh huyu mtoaada ni kwikwi nae aliwah mtukana matusi kaka mmoja anatafuta mdada wa kazi ndo nilipomchoka mie thts y nimemuita hance hahahah ndo akapigwa ban !na kuna mkaka mmoja alimuanzishia thread ya kumtukana kbs anaitwa ushimen mhhh
Kumbe ana tabia hiyo lol hope kajifunza sasa maana anakiri hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nami nimetoka kifungoni kama masaa 4 hivi, mi nimezoea, napigwa sana BAN, ingawa inauma! tatizo na wengine wanapost hivyo vitu ila wanapeta! Hamna consistency!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…