Nilichojifunza BAADA YA KUPIGWA BAN..

Sifa na vigezo vya kupigwa ban ni vipi eti ? Na je kale katangazo kanakuwepo vigezo na masharti ya ban vimezingatiwa
 
Nlipigwa ban ya miezi sita asikwambie mtu,nlikuwa nikiona upupu wa Zero brain za Lumumba nashikwa na hasira mpaka najikuta nawatukana mods kimoyo moyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…