Nilichojifunza kilichotokea Kings Music

Nilichojifunza kilichotokea Kings Music

Babalulu

Member
Joined
Feb 18, 2020
Posts
8
Reaction score
7
Mnamkuza sana jamaa kuliko uwezo.

Shabiki wa Kiba hawajielewi.

Kiba anategemea kiki ila anajifanya kama hategemei hivi. Kumbuka kipindi anataka kutangaza kuhusu ile tour yake kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa anatoa tamko rasmi kama sio kutumia ile attention iliyotengenezwa na Diamond kumualika kwenye Wasafi Festival?

Hii ngoma ya Dodo yenyewe amshukuru sana Mobeto ukweli ni kwamba ni ngoma ya kawaida. Kama asingemtumia Mobeto aliyepata umaarufu kupitia Diamond sijui ingekuwa wapi. Kwa hakika hata Zuchu angekuwa kashampita.

Pamoja na sapoti kubwa ya media zote kubwa Bongo ila madogo wamemshinda, duh!

Muachage utumwa wa kifikra nyie tim Kiba. Bosi wenu yameshamshinda huko mkubali tu. Naona hadi Diva kahamishia nguvu zote kwa konde siku hizi. Ameshasoma alama za nyakati.
 
Mi niko tofauti sana na wanaume wenzangu wa kibongo, wengi wanapenda misambwanda lakini mi nikiona kalio flat screen ndio nakuwa na dirt mind.
 
Hivi nyinyi timu nani Nani hamjuagi kuwa Kuna corona? Maana naona mpo bize na mambo yenu tu
 
Sisi, mashabiki tunaitaji muziki mzuri, usio na matusi. Mambo mengine ayatuhusu hata wewe mtoa post. Mafanikio ya Ali Kiba au mondi wewe ayakupi ugali mezani isipokuwa muziki mzuri ndo Furaha, nakushauri punguza shobo mdundo.
Ulishikiwa bunduki usikilize hayo matusi? We endelea kusikiliza kaswida za huyo Kiba
 
Wale madogo wamejiongeza sana kuachana na huyu Cinderella
 
Ulishikiwa bunduki usikilize hayo matusi.!?
We endelea kusikiliza kaswida za huyo kiba

"Mondi"

"Salamu ziende kwa wanjara kwenye Bunyero mwambie simba kachalala anataka msambwanda kwa buku jero"

Bunyero ni lugha ya kihaya sehemu yakunyea Mavi ....au Anus ..

"Alikiba"

"Ule ugonjwa ulioniacha nao bado sijapona, hata mapenzi ulionacha nayo yamebaki, Jina.

"Hosptali zote za dunia nzima , nimezunguka kote , lakini bado sijapona... hata ngoma , sina presha, sina ...hila Jina lako ninalo.

"Labda tutaonana kabla ya kwenda kwa mchanga"

Aliyooooo

Alikiba noma sana
 
Ukisikia tusi kwenye wimbo hapa bongo jua tatizo ni kichwa chako kinavyotafsiri.
"Nikupake wese, nesanesa,weka mate niteleze kama nyoka pangoni,etc."
Umeona tusi gani hapo kama sio matatizo ya akili yako binafsi?
 
"Mondi"

"Salamu ziende kwa wanjara kwenye Bunyero mwambie simba kachalala anataka msambwanda kwa buku jero"

Bunyero ni lugha ya kihaya sehemu yakunyea Mavi ....au Anus ..

"Alikiba"

"Ule ugonjwa ulioniacha nao bado sijapona, hata mapenzi ulionacha nayo yamebaki, Jina.

"Hosptali zote za dunia nzima , nimezunguka kote , lakini bado sijapona... hata ngoma , sina presha, sina ...hila Jina lako ninalo.

"Labda tutaonana kabla ya kwenda kwa mchanga"

Aliyooooo

Alikiba noma sana
Kumbe ndo maana ya Bunyero?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Babalulu,
Those thousands Kiba fans cant be all stupid to admire the star.
May be you hate or he pisses you off, that okay because you dont have to like him.
 
Umeongea Pumba tu,. Eti Diva kamkimbia lini kiba akawa na Diva au aliomba sapot kwa Kiba?
 
Naona ni bora ufikirie unajikingaje na Corona kuliko huu upupu unaotuandikia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mbona heading na content haviendani?
Mnamkuza sana jamaa kuliko uwezo.

Shabiki wa Kiba hawajielewi.

Kiba anategemea kiki ila anajifanya kama hategemei hivi. Kumbuka kipindi anataka kutangaza kuhusu ile tour yake kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa anatoa tamko rasmi kama sio kutumia ile attention iliyotengenezwa na Diamond kumualika kwenye Wasafi Festival?

Hii ngoma ya Dodo yenyewe amshukuru sana Mobeto ukweli ni kwamba ni ngoma ya kawaida. Kama asingemtumia Mobeto aliyepata umaarufu kupitia Diamond sijui ingekuwa wapi. Kwa hakika hata Zuchu angekuwa kashampita.

Pamoja na sapoti kubwa ya media zote kubwa Bongo ila madogo wamemshinda, duh!

Muachage utumwa wa kifikra nyie tim Kiba. Bosi wenu yameshamshinda huko mkubali tu. Naona hadi Diva kahamishia nguvu zote kwa konde siku hizi. Ameshasoma alama za nyakati.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
And yet umepata muda wa kumjadili[emoji1745][emoji1745][emoji1745][emoji1745]
 
Back
Top Bottom