Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Hakika yangu wote buheri wa afya
Nianze kwa kusema inzi akiicha ujinga anaweza kutengenzea asali tamu kuliko nyuki.jf kwangu ni freezone pamoja na kujifunza kwa wengine sijui wanaichukuliaje
Kuna wakati napata hamasa kuzidi kufahamiana na watu nikimaanisha iwe ni zaidi ya kuchati tena hata ikiwezekana nipate kakichwa kamoja cha kutamba nacho huku jukwaani ila inashindikana[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sitapenda kurudia kwa yalitokea katika nyuzi pendwa ya nyani yuleeee na mama naniiii ingawaje ndio kiini cha habari chatoka hapo.
Kwa sasa nimeelewa ukitaka kufahamiana na watu iwe ni zaidi ya jf ili usiaibike hakikisha haya yafuatayo...
Mwanaume hakikisha huna kibamia ,makalio makubwaaa,kwenu maisha safi pamoja na wewe mwenyewe uko bomba bila ya hivyo jombaa utalia kilio cha clients wa TMT ya Ontario.
Sura nzuri,shepu ya maana tena usiwe mfupi na pia ujiweze kimaisha sio kuunga unga kila siku milio ya Siemens.. Hii ni upande wa kina Dada
Kama utabahatika kuwa na hivyo walau hutaaibika siku mkipishana.. mahusiano yakiwa vizuri na huna sifa twaja subiri mambo yaende kombo ndio utaelewa kwanini tanesco wanakuwa na genereta la dharura..
Rai yangu tuifanye jf salama kwa kila aina ya mahusiano yetu..yaliyo nje ya hapa yaishie huko huko nje .jamani kujuana sana ndio kuharibia CV kama huna mchongo wa maana na raia bora ukaushe
Maneno yangu sio sheria
Nianze kwa kusema inzi akiicha ujinga anaweza kutengenzea asali tamu kuliko nyuki.jf kwangu ni freezone pamoja na kujifunza kwa wengine sijui wanaichukuliaje
Kuna wakati napata hamasa kuzidi kufahamiana na watu nikimaanisha iwe ni zaidi ya kuchati tena hata ikiwezekana nipate kakichwa kamoja cha kutamba nacho huku jukwaani ila inashindikana[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sitapenda kurudia kwa yalitokea katika nyuzi pendwa ya nyani yuleeee na mama naniiii ingawaje ndio kiini cha habari chatoka hapo.
Kwa sasa nimeelewa ukitaka kufahamiana na watu iwe ni zaidi ya jf ili usiaibike hakikisha haya yafuatayo...
Mwanaume hakikisha huna kibamia ,makalio makubwaaa,kwenu maisha safi pamoja na wewe mwenyewe uko bomba bila ya hivyo jombaa utalia kilio cha clients wa TMT ya Ontario.
Sura nzuri,shepu ya maana tena usiwe mfupi na pia ujiweze kimaisha sio kuunga unga kila siku milio ya Siemens.. Hii ni upande wa kina Dada
Kama utabahatika kuwa na hivyo walau hutaaibika siku mkipishana.. mahusiano yakiwa vizuri na huna sifa twaja subiri mambo yaende kombo ndio utaelewa kwanini tanesco wanakuwa na genereta la dharura..
Rai yangu tuifanye jf salama kwa kila aina ya mahusiano yetu..yaliyo nje ya hapa yaishie huko huko nje .jamani kujuana sana ndio kuharibia CV kama huna mchongo wa maana na raia bora ukaushe
Maneno yangu sio sheria