Nilichojifunza kuhusu JF

Status
Not open for further replies.
Wewe nakupima mtoto. Huna kaba. Ni rahisi kuyatoa ya pm/mtaani kuyaleta humu kuyaanzishia uzi. Kama nimekusoma vibaya am soleee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa kaomba kipimo umempa kipimo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa kaomba kipimo umempa kipimo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Eeeh. Na wewe unataka nikupime?

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Nyani ana tabia za kisukuma. Akikasirika haangalii nini anasema. Ni mtu wa jino kwa jino.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Tehee teheee nilijua ungetafuta namna fulan ivi ya kuipamba ,ila amin nakuambia Nyani anamambo ya kitoto kuliko hata mimi tena bora mimi ndo kwanza miaka 18 .

JF nmekutana na Waschana wengi mno en tunaishi maisha safiii kabisaaa ya kuheshimiana kabisa .

Ila kwakweli , Mimi mtu asitegemee kunifanyia ujinga nikamwacha nooo , Ataniumiza lkn akumbuke ninaabudu kisasi, na napolipiza yeye ataumia saaaana.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…