AiseeeeNikwambie kitu kuna watu wana id 10 moja ya wemaaa zingine za ajabu
Nataman nimuweke wazi hapaaa ila ngoja niacheee watu wajanja I'd yake huwez kuta anaandika upupu kumbe ni mbwa mwituuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana kuna sehemu ulitajwa bana nikamwambia home boyKama sijatajwa hapa sijui?
NakaziaMuumbue usifiche maovu ..huyo anawapa watu tabu
Mkuu sijawahi kujihusisha kimapenzi na mdada yeyote wa humu JF..Sio ule uzi, ila ulimhusu huyo huyo wa sikio, alikuwa ana date na mdada wa humu ambaye alimjua ndani na nje, kumbe huyo mdada alikuwa wa fisadikuu....... mengine baadae naogopa BAN. ule uzi ulifutwa. hahahahahah
Kwa wewe badoKama sijatajwa hapa sijui?
Kwa upande unahusikaje katika hiyo commentMkuu sijawahi kujihusisha kimapenzi na mdada yeyote wa humu JF..
Pia sina mawasiliano yoyote na mdada yeyote wa humu..
Angalia wasije kumwaga na ya kwetuNakazia
Eti elidinya mzeengabu alikutwa na janga gani?
Naomba ubuyu nani Huyo. Maana na mie ni watu ninaopendaga watu kutokana na wanachoandika.Nikwambie kitu kuna watu wana id 10 moja ya wemaaa zingine za ajabu
Nataman nimuweke wazi hapaaa ila ngoja niacheee watu wajanja I'd yake huwez kuta anaandika upupu kumbe ni mbwa mwituuuuu
KhaaaaMimi simjui hata mtu mmoja hapa JF, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Kama unazo nyingi zaidi ya kelvin pole sanaAngalia wasije kumwaga na ya kwetu
Kweli kabisa.Bora ubaki na gundu lako kuliko balaa la jf members
Ni kubahatisha tu mkuu. Kuna watu wana comments tamu lakini wapuuzi kama niniKumjua moja kwa moja huwezi ila kwa comments zake waweza kubashiri ..mengine hujulikana mbeleni baada ya kupishana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh leo siti ya mbele kabisa
Nije kwenye mada sasa upo sahihi kabisa mkuu chezea siti ya mbele
Rudia kusoma tena post #44.. kuna nyongeza nimewekaKwa upande unahusikaje katika hiyo comment
Mlipue tu..kwan sh ngap?Kuna wengine wastarabu kwenye comment wana id 5 ingine ya matusi ingine ya ustarabu namjua mmoja nataman hata nimuweke wazi watu wamuepukeee anatesaaa sana
Niko kawaida best na pia Nina marafiki wa kutosha ..kupata mpenzi sio expectations kubwa kwanguTatizo ni kwamba unakuwa na expectations kubwa. Kua wa kawaida, jenga urafiki taratibu na usilazimishe. Na kama nia ni kupata mpenzi basi utaangukia pua. Mapenzi yaje naturally!
Duh..nilipitwa na hii habariHata wenzako mwanzoni walikuwa na mtazamo kama wako
Nani angeamini kama nyaniiii anaweza kafanya mambo yaleee
Hongera kwa kutoa pongezi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hongera sana kwa kuwahi siti namba 2 mkuuu