Nilichojifunza kupitia sakata la Mr Kuku


Hewa
 
😂😂😂watu wamewaona mamillionea tu na si kingine
Ila ktk mfano huo Tunda atolewe bora shilole tunajua anachofanya hapo kwa eddo nadhani ulitaka kumuweka shigongo🚮
🚶🚶🚶
Tunda ni miongoni mwa wamiliki wa maduka makubwa ya nguo hapa nchini. Edo ni mwandishi wa kimataifa... anaishi Mbezi Beach wa wazito.
 
Edi kumwembe na shilole wana hela kuliko trump.kumbe lemutus ns umri wake wa miaka 56 ni kijana.jinga kabisa
 
Kwenye 'Mamiluonea' mimi sijatajwa?
Poa tu,😩
 
Huyu mr. kuku ndo nani na alikuwa anafanya kitu gani...
 
Watanzania ujinga umetujaa, exposure zero, hata soko la hisa pale unanunua hisa za 10 mil kwa mwaka unapata gawio halozidi hata laki 5, af mtu anaambiwa utawekeza 1 mil upate faida ya 10 mil acha watapeliwe tu maana kuna uzembe wa kutafuta taarifa sahihi, mtu hajiulizi hata uwezo wa huyo jamaa ku-deliver anachokiahidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…