Mastars ya mzumbe ya darBongo bana....halafu unaweza kuta haka kajamaa eti nako kana "mastaz"!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mastars ya mzumbe ya darBongo bana....halafu unaweza kuta haka kajamaa eti nako kana "mastaz"!
Yaani akisoma hii thread mzee yusuph anaweza kwenda home kwa MERO usiku huu afute hii thread.nilichoelewa ni kwamba Mzee Yusufu kaacha ulokole karudi kwa shetani
hata mimi nilijua nipo peke yangu ambaye sijamuelewaMbona sielewi au nina usingizi
Ukiyaona yote yanayofanywa na BAKWATA, Sheikh Salum na viongozi wengine wa dini unaona kabisa Mz3 Yusuf anajitesa tu bure.Chizcom....!
Afadhali kumbe tuko wengi, maana nilifikiri ni mimi tu.Mkuu mimi ni kilaza au umeandika lugha ya kwako mwenyewe? Mbona sielewi kabisa.
Bado narudia hizi "Hana"
hahahahahaaaaaaaaaa.Mkiambiwa mpate elimu mnakuwa wabishi kama shipa. Ona sasa umekuja kuungunisha unganisha sentence hata hazieleweki.