Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, nilikuwa sijui sababu ya wewe kuandika hivyo ndiyo maana ilinishangaza sana. Bashite ni ziro brain.Msikilize Bashite anavyoitamka ARUSHA. Nimeandika hivyo mahsusi kwa ajili ya Bashite.
Kulipa kwake kodi na kulaumu kama mambo yanaenda ndivyo sivyo ndio mchango wake (yeye kafanya wajibu wake) wengine hawajafanya ndio maana yametokea ya kutokea..., Hili nilishaliongelea kivingine pengine ila na hapa linahusu..., Kila mtu akifanya wajibu wake tutafika bila shida (Na wajibu wa huyu ni kulipa kodi anayolipa na kulalamika.., that is good kuliko machawa wanaosifia hivyo kuwapa motisha wazembe waendeleze uzembe)-Kama wewe upo Kariakoo tuone picha yako
-Hujaelelza chochote cha kufanyika zaidi ya kulaumu mwanzo mwisho
-Toa mapendekezo yako nini kifanyike ili makosa yasijirudie
-Janga limetokea na bado watu wanaendelea kuokolewa kwa vifaa duni tulivyo navyo, nini mchango wako wa hali na mali
Na log off!
Mkuu tusaidiane kuwaelimisha hawa machawa ipo siku wataelewaKulipa kwake kodi na kulaumu kama mambo yanaenda ndivyo sivyo ndio mchango wake (yeye kafanya wajibu wake) wengine hawajafanya ndio maana yametokea ya kutokea..., Hili nilishaliongelea kivingine pengine ila na hapa linahusu..., Kila mtu akifanya wajibu wake tutafika bila shida (Na wajibu wa huyu ni kulipa kodi anayolipa na kulalamika.., that is good kuliko machawa wanaosifia hivyo kuwapa motisha wazembe waendeleze uzembe)