Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912
Kwa kipindi ambacho nimekuwa mtiifu mzuri na mfuatiliaji wa michango mbalimbali ianzishwayo na baadhi wa member wa kike humu kwenye jamvi la mahusiano na hasa wale wanaojiita majina ya kuvutia na kuweka avatar tamanishi, kiuhalisia hao ma member hawafananani kabisa na wanayoyasema humu ndani.

Nipo tayari kusahihishwa ila ukweli ningeshauri wadada ambao ni baadhi siyo wengi jaribuni kuishi maisha halisi na siyo fabricated life.
 
Mfano tu ebu ona Mada iliyoanzishwa na huyu Member anayejiita Curious gal ati anatoa offer ya Valentine ila vigezo alivyovisema mojawapo nikuwa watachangia 50% 50% ambayo ni 11.2 Mill.... is this girl serious?????? Na wapo wengi sana
Acha tu ndugu yangu.......eti mpaka kuna watu huwa wanakuja kutafuta wake humu......ama kweli tuna kazi sana
Sasa huyo eti anasema mil 11.2 na muda huu kweli vyuma vilivyokaza hata kwa akili ya kawaida tu inakuja kichwani?
 
absolutely true mkuu!!.[emoji106]

JF kila MTU anamiliki mjumbaaa au amepanga nyumban nzima[emoji23][emoji23] lkn in reality weeee siunajua weng ndio hawa hawa wafanyakazi wa serikal ya awamu yatano.

Nilianza kushituka.,,Kwenye ule Uzi wa kuongeza mishahara na kupandisha madaraja vilio vilikua vingi mno nikajua aaaaaahhh kumbe[emoji23]
 
Kuna ambao waliingia wakiwa real wakakutana na manyangau humu na mapretender wa hali ya juu, lol! Wakaamua kuwa nyangau+

So as long as u enjoy the show here, it does not matter ur fake or original just enjoy the rhythm.
 
Mfano tu ebu ona Mada iliyoanzishwa na huyu Member anayejiita Curious gal ati anatoa offer ya Valentine ila vigezo alivyovisema mojawapo nikuwa watachangia 50% 50% ambayo ni 11.2 Mill.... is this girl serious?????? Na wapo wengi sana
Hahahaaaaaaa hahahhaaaaa
Tuishi uhalisia
?
Bwaha bwaha.....wanaume wote jf wapo single wana magari na wanaishi Dar
 
Back
Top Bottom