Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Kwa kipindi ambacho nimekuwa mtiifu mzuri na mfuatiliaji wa michango mbali mbali ianzshwayo na baadhi wa Memba wa Kike humu kwenye Jamvii la Mahusiaono na hasa wale wanaojiita Majina ya Kuvutia na Kuweka Avatar Tamanishi, Kiuhalisia hao mamember hawafananani Kabisa na wanayoyasema humu ndani..

Nipo Tayari kuasahihishwa ila ukweli ningeshauri wadada ambao ni baadhi siyo wengi Jaribuni kuishi Maisha halisi na siyo fabricated life..

Wenye Povu za Omo Njoooni
Bora wawe fake kwa kila kitu Ili wajiamini kutoa michango yao katika Mada tata na hasa zile za kumuhusu Dereva mwendawazimu na kundi lake la vichaaa

Siwatetei ila ni mtizamo wangu msinitukane plz!
 
Ila hawataki sisi tufake uzuri etii
hlo ndo tatzo,,, tunatakiwa tuelewe kuwa asilimia kubwa ya watu wanaotumia hz social networks hasa wakilog in wanaishi maisha mazuri sana, drama nyingi maisha ya furaha ila wakilog out wako na sad story kwenye maisha yao,,so unatakiwa usimjudge mtu kupitia post au avatar,, kla mtu anamaisha yake baada ya hz social networks,,,
 
Back
Top Bottom