Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Duuh!! Basi wacha nimfwatilie.. japo mimi sio nissan nyeupe.
Mzigua90 mama unapatikana wapi!!
Huyo anapenda vitu black mkuu afu yupo single nilisoma uzi wake mmoja hivi akiwa analalamika jamaa kala mzigo afu kaenda kuoa mtu mwingine....

So jaribu bahati yako mkuu.... [emoji4] [emoji4]
 
jf member wengi wamepiga kitabu bhana asikwambie mtu nahic mtu mwenye elimu ndogo atakuwa na kadegree ka1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…