2000%Huu uzi hauna uhalisia.
Ukiachana na avatar ambazo zinafahamika kabisa kwamba sio sura halisi za watu,Sijawahi narudia tena Sijawahi kuona mwanamke anajisifu humu kuhusu GARI,NYUMBA AU KAZI!
INGAWA KUNA WANAWAKE HUMU WANA KAZI NZURI,ELIMU NZURI,MAKAZI MAZURI ,NYUMBA ZAO NZURI AU ZA KUPANGA NZURI KABISAAAA.
Mwanamke anakanmizwa kila mahali hamna jipya.
mnataka tuwe wazuri nyie wazuri?
Nina fantasy ya threesome matata!!Nipo njiani
Pole sanaUsiwaseme wadada au wanawake wa jf sema na wanaume wa jf,kuna wanaume wana tabia mbaya sana jf lakin kwa vile ni wanaume wamenyamaziwa ingekuwa wanawake tunafanya mshaongea kama nin,hebu mjitathimini mjue thamani ya wanawake,wazoeeni wanawake walivyo,tukianza chambuana humu mtabaki midomo wazi
Kuna watu humu wana stress wanakuja zitolea humu,kuna watu full majigambo wakati kiuhalisia hakuna kitu kabisa ,kuna wanaume waongo humu jf walifaa waishi sayari yao wanadanganya mpala wanajisahau
Ngoja nikae vyema kwanza
Natafuta nae anawashwa washwa ngoja achambwe akilo ikae sawa ,haeleweki kabisa huyu mama dahDuuuh
Yeeeeuwwii nkiki ikiNina fantasy ya threesome matata!!
Mimi simo nakujaga kupata habali tu na kufurahi.hivyo siwezi fakeKwanini mnafake sana?
Kizuri kula na mwenzioNaumia
hujaona nn bossMimi sijaona mkuu
Taratibu mkuuWanawasema wanawake wa humu wanaume je,wale mabazazi wengine mpaka wanafungukiwa uzi wanashika namba moja jf unadhan uongo?
Mwanaume wa jf anakuambia yupo single kumbe upo 1000 kule ,wanafake kweli humu na kujifanya wajuaji kumbe hovyo tu kiuhalisia hawapo hivyo kabisa hawana mvuto,nguo wanazovaa utacheka ,wapo baadhi wachache sana wanaojielewa humu kwa kila kitu
[emoji4] [emoji4] [emoji4] Dinazarde utanifanya nipite mwanza nikae siku kadhaa kwa ajili yako maana hiyo avatar huwa inanikoshaWamekamilika Kila idara mwanawane
Hahaha huo upaja noma sana
Tuendeleeni tu kufake maisha
Ha ha ha ha ....Huyo anapenda vitu black mkuu afu yupo single nilisoma uzi wake mmoja hivi akiwa analalamika jamaa kala mzigo afu kaenda kuoa mtu mwingine....
So jaribu bahati yako mkuu.... [emoji4] [emoji4]
Hatutaniwi hata hivyo mnapenda kudanganywa acheni tuingizane machakani ha ha haaaaWamekamilika Kila idara mwanawane
Umekomaa sana na sisi vip walikuuzia chai bila sukari nn?Kuna vituko sana jf hasa wanaume wana vituko sana
Mambo yake ni kama unavyoyaona hapo kwa picha mkuu... so ujipange aiseeHa ha ha ha ....
Mimi kuna mdau aliniambia kwamba anapenda sana pesa, sasa hapa ina nibidi nijipange kweli kweli
We umesema umeshiba bhanaa... Tuachie na sie hebuKizuri kula na mwenzio
Namba moja ya nini D?Daby wangu siamini Kama unashika namba moja hujanipa maelezo ya kutisha kule pm