Nilichojifunza kwa wadada wa JF

2000%
 
Pole sana
 
Taratibu mkuu
 
Huyo anapenda vitu black mkuu afu yupo single nilisoma uzi wake mmoja hivi akiwa analalamika jamaa kala mzigo afu kaenda kuoa mtu mwingine....

So jaribu bahati yako mkuu.... [emoji4] [emoji4]
Ha ha ha ha ....
Mimi kuna mdau aliniambia kwamba anapenda sana pesa, sasa hapa ina nibidi nijipange kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…