Nilichojifunza kwa wadada wa JF

Jamii forum ni dunia nyingine kabisa ambayo uki log in unaishi kwenye mansion na unaendesha Bentley.

Uki log off unarudi kwenye chumba chako Kwamtogole kusubiri foleni ya chooni

Don't spoil the fun
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]
 
Huu uzi tume mkosa mama Sabrina.
Sijui kafichwa wapi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani inashida gani mzee?

Kwetu morani hawali mhongo mbichi ni malayoni tu.
Haha haina shida yeyote watu wanatafuna tu kujiandaa na valentine day
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…