Nilichojifunza kwa wadada wa JF



Huyu Anaitwa Paulo mwalimu wa CBE
Dodoma ndo aliyeleta mada ya Mr smart hapa jukwaani na pia ni tapeli tapeli ana tabia ya kutembea na Watoto wazuri wa cbe
Demiss utapigwa ban tena na hii ID yako Mpya unakichafua Chuo cha CBE bila ushahidi wakutosha na ukifunguliwa Mashitaka ya kukichafua Chuo cha CBE na kuimplicate watu kuwa wanafanya kazi hapo Usiione JF Chungu bila sababu ya Msingi ... Moderator Ifanyie Kazi hii kitu.. Uchafuzi wa Chuo kwa matwaka ya Mtu anavyojisikia siyo Maudhui ya uwepo wa JF member wa namna hii wanapashwa kufukuziwa mbali., CBE ni chuo kikubwa Mno kukihusanisha na Mada yoyote humu Ndani siyo suala ya kuchekea.
Moderator Maxence Melo Mhariri
 
Wengi show off tu. Na kujishebedua kumbe uhalisia ni wadada wa uswahilini. Hizo avatar nzuri nzuri na majina seductive ni yakuchunia maboya tu.
Na hii ni kwa sababu wanawake wengi hawajikubali walivyoumbwa kutwa kutamani kubadili muonekano wa asili ndo maana wako tayari kuongeza makalio cjui mawigi cjui nyonyo wanazipandishaje wakati zishalala yaani wana kazi kweli kweli hawa viumbe.
 

Una akili saaana!Kabadili ID na kajulikana!Dawa yake ni Ban tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…