mmmhhhHivyo vita vimekuwepo hata kabla ya hivi vyote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmhhhHivyo vita vimekuwepo hata kabla ya hivi vyote.
Hao mabeberu mbona walichapiga pale Vietnam, walichapika pale Afghanistan, walishindwaje kwenye vinchi vidogo visivyo na teknologia ya maana.Mabeberu wamepigana vita tangu enzi enzi mbinu zote za kushinda wanazijua na technology wanayo plus pesa lazima washinde
Malengo ya vita ni zaidi ya haya uliyoandikaHao mabeberu mbona walichapiga pale Vietnam, walichapika pale Afghanistan, walishindwaje kwenye vinchi vidogo visivyo na teknologia ya maana.
Je, kwa siraha, utaalamu, teknologia na fedha walizowekeza pale Ukraine uliamini kwamba vita itachukua zaidi ya miaka 3?
Hawa huwa wanaziomea nchi zisizo na mshikamano, wanahakikisha wameandaa mamluki (uasi) ndani ya nchi bila hivyo huwa wanachoka na kuondoka.