Umeona ee kitu ambacho wakina faiza n shamsa walikua wanakililiahalafu life is too short kuanza kuweka beef na baba wa mtoto wako.... ye mwenyewe anamshukuru kwa kum take care na mtoto pia...
Lulu tenaa...anatumia fursa vizuri kabisa...Umeona ee kitu ambacho wakina faiza n shamsa walikua wanakililia
Big u hamissa
Yaan hapo lulu kw hyo mkaka nahis habanduki ng'o mtu ambaye hasubirii mshahara trh 30
Saaaanaaaa lulu hapo sio mjinga na hiv sikuhz kana akili aah itakua huy jamaaa anakashaur sanaLulu tenaa...anatumia fursa vizuri kabisa...
Mhaya na mchaga yule...!Saaaanaaaa lulu hapo sio mjinga na hiv sikuhz kana akili aah itakua huy jamaaa anakashaur sana
Mungu awatangulie
KwendraaaaHuu m chezo hauhitaji hasira ww...