My take
---> Kukubali kwamba watu wanapenda mabadiliko it is obvious
---> Kuelewa kwamba CHADEMA isipopata 30% ya kura za urais kwamba sio udhaifu wa Dr. Slaa bali ni kwamba people needs to process and assess credibility of changes they want to make.
---> Personally I won't give CHADEMA presidencial vote, b'se they were not serious in picking up the running mate, also they will not able to form government even if Dr. Slaa be a president per our current constitution zaidi ya kwamba watakwamishwa na chama kitakachokuwa na wabunge wengi which is obvious CCM.
--->Kura ya Mbunge na Diwani yes nitawapa wapinzani b'se I need them to build that credibility to be given vote for change.
--->Indeed kuipa CHADEMA urais sasa ni kuamini only one person can run a country... bila kuwa na nguzo nyuma!
Mkuu umenigusa penyewe wala sina la kuongezea.Kasheshe,
..call me crazy, but I have been dreaming of the day when our President would come frm a party that does not have a majority in the parliament.
..mwanzo nilikuwa naomba CCM wa-lose majority of the seats, lakini inavyoelekea ni rahisi zaidi, in the near future, kwa vyama vya upinzani kupata Raisi, kuliko majority ya bunge la muungano.
..naamini mfumo wetu wa utawala na bunge utafanya kazi vizuri zaidi ikiwa Raisi atatoka kwenye chama kisicho na majority bungeni, au tukiwa na situation ambapo the majority is very slim in the parliament.
..uchaguzi huu kura yangu ya Uraisi ni kwa Dr.Wilbroad Slaa.
Key message thanks!!!
Kuna kitu kimoja tu niwaongezee, kwamba although watu hawapendi changes/mageuzi kwenye mambo mbalimbali kiasili. Watu hao hao wanapenda mageuzi kwenye siasa sana!
Mfano ukiangalia jina la chama kinaitwa CCM litakueleza kwamba always in politics people like changes.... but they need realiable change ... not change b'se it is change!!!
Dr. Slaa ni tumaini katika kuona hizo changes, and people listen carefully to ensure reliability of change promised!!! Of course washabiki wanaenda mbali zaidi kuamini tayari wasikilizani wameshakubali!!! well a certain percentage yes, but still majority will need be assured whether promised changes will is reliable and credible.
Mfano wa kuonyesha wananchi wanapenda mageuzi ni wazee walikuwa wamefanya makubwa kwenye majimbo yao kama Mzee SJM, lakini akaondolewa na kijana... walifanya hivyo tu pale walipogundua kijana ana uwezo, na walifanya hivyo sio kwa sababa Mzee SJM hakuwa ana-uwezo no, it was b'se changes in politics is inenvitable.
My take
---> Kukubali kwamba watu wanapenda mabadiliko it is obvious
---> Kuelewa kwamba CHADEMA isipopata 30% ya kura za urais kwamba sio udhaifu wa Dr. Slaa bali ni kwamba people needs to process and assess credibility of changes they want to make.
---> Personally I won't give CHADEMA presidencial vote, b'se they were not serious in picking up the running mate, also they will not able to form government even if Dr. Slaa be a president per our current constitution zaidi ya kwamba watakwamishwa na chama kitakachokuwa na wabunge wengi which is obvious CCM.
--->Kura ya Mbunge na Diwani yes nitawapa wapinzani b'se I need them to build that credibility to be given vote for change.
--->Indeed kuipa CHADEMA urais sasa ni kuamini only one person can run a country... bila kuwa na nguzo nyuma!
[/COLOR]
Mbona unajichanganya mwenyewe. Hao wabunge na madiwani unawapa kura za nini kama hawawezi na kama wanaweza kwa nini udhani mtu mmoja tu ataendesha nchi? Tafakari. Chukua hatua........ Saa ya ukombozi ni sasa. VOTE FOR DR. SLAA
Key message thanks!!!
My take
---> Kukubali kwamba watu wanapenda mabadiliko it is obvious
---> Kuelewa kwamba CHADEMA isipopata 30% ya kura za urais kwamba sio udhaifu wa Dr. Slaa bali ni kwamba people needs to process and assess credibility of changes they want to make.
---> Personally I won't give CHADEMA presidencial vote, b'se they were not serious in picking up the running mate, also they will not able to form government even if Dr. Slaa be a president per our current constitution zaidi ya kwamba watakwamishwa na chama kitakachokuwa na wabunge wengi which is obvious CCM.
--->Kura ya Mbunge na Diwani yes nitawapa wapinzani b'se I need them to build that credibility to be given vote for change.
--->Indeed kuipa CHADEMA urais sasa ni kuamini only one person can run a country... bila kuwa na nguzo nyuma!
Mkulu umefanya tathmini na kuiwasilisha kwa umahiri uliotukuka, ila tu kwenye kutafsiri ile nukuu ya msemo "Its choice - not chance" nadhani tafsiri sahihi ni "ni chaguo- si bahati". kama unaweza kuedit tafadhal ili utamu wa thread yako utiririke hadi mwisho.
Laiti uandishi wa aina hii ungekuwepo kwenye magazeti mengi mabadiliko ya kifikra yasingekuwa magumu. Bravo.
CCM wana pesa
Wana pesa za kuwalipa mamluki wakaja huku na kutuchafua kwa hoja zao za kipuuzi, zisizo na nguvu wala msingi. Nawaita "agent provocateurs"!
Wana pesa za kuzilipa NGO "feki", kama REDET, kutoa ripoti za utafiti "hewa", kuonesha kwamba JK anakubalika, huku wakiujua ukweli!
Wana pesa za kukodisha mabasi na malori, ya kuwapeleka "wapiga debe na washangiliaji" kwenye mikutano ya kampeni za JK!
Wana pesa za kuwalipa vijana wasio na kazi kushika mapanga, sime na mawe, kwenda kuwashambulia wagombea ubunge wa CHADEMA na vyama vingine vya upinzani.
Wana pesa za kuweka mabango huku na kule, kila upitapo, barabarani, hata kwenye kuta za nyumba zetu.
CCM wana pesa.
Lakini CCM hawana vitu hivi:
Hawana mapenzi ya watu, wanaofurika kwa mamia na maelfu, kwenye mikutano ya Dr. Slaa na wagombea wengine wa CHADEMA!
Hawana utashi wa watu walioamua, kufa na kupona, kumpigia kura Dk. Slaa, na KUZILINDA kura hizo zisichanganywe na zile feki, usiku, wakati wa kuhesabu kura kwenye vituo.
Hawana uamuzi wa watu walioamua kuichangia na kuisaidia CHADEMA, kwa hali na mali.
Hawana kauli ya watu wanaolalama, huku na kule, wakiilaani Serikali (ya CCM) na kiongozi wak (JK), kwa kuwapuuza, kuwanyanyasa na kuwadhihaki, miaka nenda rudi, wakitoa ahadi zisizotekelezwa na zisizotekelezeka.
Hawana kionambali cha watu wanaotaka mabadiliko, baada ya kushinda juani kutwa, wakilala sakafuni usiku, miaka nenda rudi, na baada ya utawala wa miaka 50, wamesema, SASA NI ZAMU YETU!
Tanzania itarudi mikononi mwa Watanzania, CCM walikubali hili... vinginevyo, kitachachotokea WATAKUWA LAWAMANI!
-> Mwana wa Haki
Key message thanks!!!
Kuna kitu kimoja tu niwaongezee, kwamba although watu hawapendi changes/mageuzi kwenye mambo mbalimbali kiasili. Watu hao hao wanapenda mageuzi kwenye siasa sana!
Mfano ukiangalia jina la chama kinaitwa CCM litakueleza kwamba always in politics people like changes.... but they need realiable change ... not change b'se it is change!!!
Dr. Slaa ni tumaini katika kuona hizo changes, and people listen carefully to ensure reliability of change promised!!! Of course washabiki wanaenda mbali zaidi kuamini tayari wasikilizani wameshakubali!!! well a certain percentage yes, but still majority will need be assured whether promised changes will is reliable and credible.
Mfano wa kuonyesha wananchi wanapenda mageuzi ni wazee walikuwa wamefanya makubwa kwenye majimbo yao kama Mzee SJM, lakini akaondolewa na kijana... walifanya hivyo tu pale walipogundua kijana ana uwezo, na walifanya hivyo sio kwa sababa Mzee SJM hakuwa ana-uwezo no, it was b'se changes in politics is inenvitable.
My take
---> Kukubali kwamba watu wanapenda mabadiliko it is obvious
---> Kuelewa kwamba CHADEMA isipopata 30% ya kura za urais kwamba sio udhaifu wa Dr. Slaa bali ni kwamba people needs to process and assess credibility of changes they want to make.
---> Personally I won't give CHADEMA presidencial vote, b'se they were not serious in picking up the running mate, also they will not able to form government even if Dr. Slaa be a president per our current constitution zaidi ya kwamba watakwamishwa na chama kitakachokuwa na wabunge wengi which is obvious CCM.
--->Kura ya Mbunge na Diwani yes nitawapa wapinzani b'se I need them to build that credibility to be given vote for change.
--->Indeed kuipa CHADEMA urais sasa ni kuamini only one person can run a country... bila kuwa na nguzo nyuma!
Key message thanks!!!
My take
Personally I won't give CHADEMA presidencial vote, b'se they were not serious in picking up the running mate, also they will not able to form government even if Dr. Slaa be a president per our current constitution zaidi ya kwamba watakwamishwa na chama kitakachokuwa na wabunge wengi which is obvious CCM