Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni Comedian Makonda.Ziara za Komredi Makonda, na hasa anapowapambanisha watumishi wa umma na wananchi, zinadhihirisha udhaifu mkubwa wa Chama Cha Mapinduzi.
Nani alikuambia wafanyakazi wapo usingizini?Aache ujinga.Alisababisha hadi maafa kwa watumishi.Wachumia tumbo msiogope. Hao wananchi ndiyo waliowachagua ninyi viongozi.
Kama unapiga kazi vizuri hofu ya nini? Mnabweteka sana ,acheni kijana awafunze na kuwashtua usingizini.
Wewe ni % ngapi ya wananchi wote hapa Tanzania?Nani alikuambia wafanyakazi wapo usingizini?Aache ujinga.Alisababisha hadi maafa kwa watumishi.
Kuna wale Watumishi wa Halimashauri kule Arusha, wamepima Aridhi ya Muhindi wa watu kimakosa,na kisha wakawauzia wananchi hivyo viwanja! Muhindi kwenda mahakamani akashinda kesi, Halmashauri badala wao ndiyo wamplipe mwenye eneo lake kama Mahakama ilivyo elekeza,eti wao zigo la hilo deni la Muhindi wamewatupia tena wale wananchi waliouziwa viwanja vilivyo pimwa! Yaani full uwonevu kwa wananchi wa kawaida!!Nani alikuambia wafanyakazi wapo usingizini?Aache ujinga.Alisababisha hadi maafa kwa watumishi.
Anashindwa kutatua changamoto za watumishi na wananchi.Anatakiwa awapatanishe ili washirikiane kuzikabili changamoto zao.Anawagombanisha ili iweje?Au ana pepo la uchonganishi akidhani ni sifa njema?
Hiyo inaitwa "duble-duble"!Wapima wamejiongeza si kwamba walikuwa hawajui. Na wauziwa viwanja ni malofa wasiopenda kuchunguza vitu.Ngoma ngumu.Kuna wale Watumishi wa Halimashauri kule Arusha, wamepima Aridhi ya Muhindi wa watu kimakosa,na kisha wakawauzia wananchi hivyo viwanja! Muhindi kwenda mahakamani akashinda kesi, Halmashauri badala wao ndiyo wamplipe mwenye eneo lake kama Mahakama ilivyo elekeza,eti wao zigo la hilo deni la Muhindi wamewatupia tena wale wananchi waliouziwa viwanja vilivyo pimwa! Yaani full uwonevu kwa wananchi wa kawaida!!
It's high time now!Akue kiakili.Akijiendekeza hivyo atazeeka akiwa mzee mjinga na mchawi.Ingawa kwao usukumani uchawi ni sifa njema.Hiyo ndiyo kazi yake hasa katika chama.
Political agitation(uchochezi na ufitinishi).
Inaweza isiwe relevant kwa enzi za sasa lakini kumbuka CCM bado inajinasibu kufuata siasa za ujamaa.