Nilichokiona leo na mbio za mfungaji bora

Nilichokiona leo na mbio za mfungaji bora

.. kuna wivu na ubinafsi. Aziz Ki afanye jitihada binafsi kama ana nia ya kutwa kiatu vinginevyo sioni urahisi kwake kushinda tuzo hiyo

1716400521134.png
 
Aziz Ki afanye jitihada binafsi kama ana nia ya kutwa kiatu vinginevyo sioni urahisi kwake kushinda tuzo hiyo

Badala ya kulalamikia wachezaji wa Yanga, ulipaswa kumshauri aonane na watu wa saikolojia ili wamuweke akili sawa awe na utulivu akiwa langoni kwa mpinzani. Presha imekuwa kubwa sana kwake kiasi kwamba anashindwa kuzitumia nafasi nyingi anazopata.
 
Uwanja kama ule kutengeneza nafasi za mtu kufunga inakuwa ngumu sana.

Ila Mzize na max hata Guede nao Wana malengo Yao angalau wapate digit flani kujiweka katika nafasi nzuri msimu ukielekea mwisho
Ahaa
 
Badala ya kulalamikia wachezaji wa Yanga, ulipaswa kumshauri aonane na watu wa saikolojia ili wamuweke akili sawa awe na utulivu akiwa langoni kwa mpinzani. Presha imekuwa kubwa sana kwake kiasi kwamba anashindwa kuzitumia nafasi nyingi anazopata.
ok
 
Pamoja na Aziz Ki kufunga, bado hakukuwa na jitihada na mikakati ya dhati kumtengenezea mazingira ya kufunga zaidi. Dodoma FC walipoteana jumla lakini wachezaji wa Yanga walionekana kuridhika na kutokuwa na njaa na nia ya kunisaidia Ki aweze kuongeza idadi ya mabao.

Inaonekana Yanga hawana mzuka saaana na ishu ya mfungaji bora na/au kuna wivu na ubinafsi. Aziz Ki afanye jitihada binafsi kama ana nia ya kutwa kiatu vinginevyo sioni urahisi kwake kushinda tuzo hiyo
Mkuu wewe ni Ahmed Ally? Au una undugu naye?
 
Mpira wa Gamondi ni team work, yoyote anafunga imetokea kapata goal 2 ni jambo jema ila team kwanza kabla ya individual achievements.
 
Msilete za Saidoo kufunga goli tano tano simply ili kujifurahisha kuwa mfungaji bora, haipendezi
 
Back
Top Bottom